26/08/2026
"Wachezaji tuko salama na tumejiandaa vizuri kuwakabili Simba kwenye Mchezo wa Kesho.
Hamasa kwetu ni kubwa na tunawaheshimu Simba ila hatuwezi kuwahofia kwa namna yoyote kwasababu tunauhitaji wa Alama tatu muhimu kwenye Mchezo wa Kesho.
Niwaombe Mashabiki zetu waje kuipa nguvu Timu yao kwani tunawaahidi kuwapa furaha"
Saad Mwanza akizungumza kwa niaba ya Wachezaji kuelekea Mchezo wa Kesho dhidi ya Simba.
26/08/2026
"Jambo kubwa ni kupambana kupata Alama tatu, tunajua mpaka sasa tumepata Alama moja tu kwenye Michezo mitatu hivyo tunafanya jitihada kuelekea Mchezo dhidi ya Simba tupate Alama ili kujiweka nafasi nzuri zaidi.
Tunakwenda kukutana na Mpinzani bora na hii kwetu ni fursa ya kuzidi kuitengeneza Timu yetu kutokana na Mchezo wa Ushindani k**a huu"
Kocha Mkuu Fikiri Elias.
24/08/2026
Game on.
Coastal Union 1-1 TRA FC.
24/08/2026
Game on
Coastal Union 1-1 TRA FC.
24/08/2026
DK 68
Coastal Union 1-1 TRA FC.
24/08/2026
Kipindi cha pili kimeanza
24/08/2026
Kichuya anafunga Goli Dakika ya 38