08/08/2026
Heri ya siku kuu ya wakulima NaneNane Wana Masuguru Fc ..ππΎπ½π§βπΎ
Ukurasa rasmi wa timu ya mpira wa miguu ya MASUGURU..|
Tupo Korogwe, Tanga.
08/08/2026
Heri ya siku kuu ya wakulima NaneNane Wana Masuguru Fc ..ππΎπ½π§βπΎ
22/07/2026
MARMAR CUP, JITENGENI MOMBO.
Cc
Martin Mhina
04/07/2026
ANAKUPASUA HUKU ANACHEKA (smiling killer)ππ
Muite JUMA MANGA JR. jezi namba 7 mgongoni, huyu ndio Kiboko ya mabeki wavunja kuniπ
Walioshuhudia fainali waliona Moto wa nahodha. TOP SCORER WA MASHINDANOπ
02/07/2026
πππππ ππ ππππ ππ ππππππππ
Sisi, Mabingwa wa Mashindano ya Njama Amani na Uzalendo Cup 2026 β Masuguru FC, tunatoa shukrani za dhati kwa Mh. CPA Charles Njama, Mbunge wa Jimbo la Korogwe Mjini, kwa kuanzisha na kufanikisha mashindano haya yaliyowaleta pamoja wananchi, kuibua vipaji vya vijana na kuimarisha amani, umoja na uzalendo katika Korogwe.
Tunampongeza kwa maono yake ya kuendeleza michezo k**a chachu ya maendeleo ya jamii. Aidha, tunatoa shukrani za pekee kwa M***i Aboubakr bin Zuber kwa mchango wake mkubwa katika kufanikisha mashindano haya. Mwenyezi Mungu awabariki na kuwaongezea afya na hekima.
Pia tunaomba wadau wa michezo waendelee kuiunga mkono sekta hii ili vipaji vya vijana wa Korogwe viendelee kukua na kurejesha heshima ya michezo katika wilaya yetu.
Tunatumaini Njama Amani na Uzalendo Cup itaendelea kuwa mashindano ya kudumu na yenye mafanikio makubwa zaidi kila mwaka.
Imetolewa na:
Mabingwa wa Njama Amani na Uzalendo Cup 2026 β Masuguru Fc
30/06/2026
Sio kuwafunga Tu, na Chenga tumewalaπππ
Muite Magician Benjamin German JaJa ukimuona yeye umeiona burudani ya Mpira.
Itonesheπ₯
30/06/2026
Viungo wenu wote ni Bora kabla hawajakutana na hiki Chuma...π
Muite Omary Ngomero Maestro, unavyokuja ndivyo anavyokupokea.
Masuguru inajivunia Sana uwepo wako "THE TANK MAESTRO"
29/06/2026
MASHABIKI BORA ZAIDI KOROGWE
Asanteni kwa jasho mlilovuja Jana kuhakikisha wachezaji wetu hawajisikii unyonge hata kwa dakika moja.
Muite MAN KIPEπ₯π₯π₯
29/06/2026
α΄α΄ΚΙͺΙ΄Ι’α΄‘α΄ Ι΄α΄α΄α΄α΄ α΄α΄α΄Ι΄Ιͺ Ι΄α΄ α΄α΄’α΄Κα΄Ι΄α΄
α΄ α΄α΄α΄ 2026
Historia imesimikwa, tangu korogwe iumbwe hakuna Timu imewahi kushinda mashindano yenye thamani kubwa kuzidi sisiβοΈ
Asante Sana Mbunge wetu Mh. CPA(T) Njama, hakika korogwe imefurahia hii KUBWA KULIKO, Mwakan tena Mkuuπ
Sisi ndio Timu pekee inayopokea hesabuπ
28/06/2026
SISI NDIO MABINGWA WA HIZI KAZIπͺπͺ
Tunatafta SHANTA wa chombo yetu mpyaaaπ
Asante kwa kila aliyejitoa kuipambania heshima ya mtaa wetuπ₯π₯
KILA LA KHERI WANAJESHI WETU π