Full time uwanja wa sabasaba igunga abajalo fc1-2 Polisi Igunga
Tumepoteza mechi cha msingi tujipange kwa ajili ya mechi ingine
Abajalo Football CLUB - Igunga
nginjanginja Abuja
13/03/2018
KIKOSI CHA ABAJALO KITAKACHOINGIA UWANJANI LEO DHIDI YA POLISI IGUNGA,
DUA ZENU NI MUHIMU ILI TUWEZE KUPATA USHINDI WADAU.
sawa na wao
17/04/2017
TAREFA huyu jamaa amewapa nini? ndio amehusika 75% kuharibu ligi daraja la tatu msimu huu kwa matokeo ya uwanjani ila bado leo mmempa mechi Rhino dhidi ya Simba acheze,kwani hamna waamuzi wengine mkoa huu?
Bingwa "katangazwa" msange jkt na mshindi wa pili "katangazwa" boma fc tutawajuza chochote klabu itakavyoamua.
MUNGU ibariki ABAJALO FC. tunaamini kesho tutatangazwa MABINGWA wapya wa mkoa wa TABORA.
MATOKEO ya mchezo wetu wa jana dhidi ya Msange JKT hayakuwa mazuri tulipoteza kwa mabao 2-0 bahati haikuwa yetu hivyo inatulazimu tusubiri mpaka mechi ya mwiso ya Msange JKT dhidi ya Kurugenzi ya wilayani Nzega ili kujua k**a tutatwaa ubingwa wa MKOA ama tutashika nafasi ya pili.
HABARI ZA JIONI WAPENDWA? kesho tunamchezo mmoja wa mwisho dhidi ya Msange JKT mechi ambayo tunahitaji pointi moja tu ili tutawazwe kuwa MABINGWA wapya wa MKOA WA TABORA tunawaombeni mtupe sapoti yenu wadau wa soka ili tuweze kuiwakilisha vyema wilaya yetu ya IGUNGA. Khamis Gulamali na DP we love you..
Vivaaaaa
24/11/2016
CHAMA LA WANA..
Click here to claim your Sponsored Listing.
Location
Category
Website
Address
Newala