Emmsport tv

Emmsport tv

Share

Sports news & events world wide.

03/03/2026

Lionel Messi ndiye ana magoli mengi zaidi kwenye soka bila kuhesabu penalti toka mwezi march 2026

Ana magoli 3 zaidi ya Cristiano Ronaldo, licha ya kucheza mechi 173 chache.

Lionel Messi ndiye bora kabisa kuwahi kutoka katika soka.

unafikiri nani atakaribia au kuvuja rekodi hiyo kwa hivi vizazi vinavyokuja?

usisahau kufollow Emmsport tv
for more updates.

26/02/2026

KUMBUKIZI;

LEO TRH 26/2 k**a ya leo mwaka 1999, kocha wa Manchester United, Sir Alex Ferguson alik**atwa na polisi akiwa anaendesha BMW yake kwenye barabara ya pembeni ya watumia miguu karibu na Manchester.

Kosa dogo, lakini kisicho cha kawaida alifikishwa mahak**ani Oktoba na Sir Alex akatoa hoja yake kwamba alikuwa akiwahi chooni kwa sababu alikuwa anaharisha. Mwisho aliondolewa mashtaka na kuachiwa.

18/02/2026

cup

wanamasumbwi wamepokea knockout round ya pili

FT.

Want your business to be the top-listed Gym/sports Facility in Mwanza?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Category

Telephone

Website

Address


Dar Es Salaam
Mwanza