03/03/2026
Lionel Messi ndiye ana magoli mengi zaidi kwenye soka bila kuhesabu penalti toka mwezi march 2026
Ana magoli 3 zaidi ya Cristiano Ronaldo, licha ya kucheza mechi 173 chache.
Lionel Messi ndiye bora kabisa kuwahi kutoka katika soka.
unafikiri nani atakaribia au kuvuja rekodi hiyo kwa hivi vizazi vinavyokuja?
usisahau kufollow Emmsport tv
for more updates.
26/02/2026
18/02/2026