David Kameta Duchu amekuwa wa moto sana tangu aongeze mkataba Simba scππππππ
Kapesah Sports Update
let's share our ideas together
02/08/2026
Simba sc na Yanga sc mmeshindwa kabisa kujenga uwanja hata wamashabiki elfu kumi kweli yaani ninyi mmeanzishwa mwaka 1935 na mwingine mwaka 1936 bado hamjapata pesa hata ya tofali leo hii Bukombe wamepata uwanja wao ambao msimu huu utatumiwa na Geita Gold tena utatumika hadi mechi za usiku ; hii aibu mnaitaka wenyewe . Hongera Bukombe hongera Geita.
rts
01/08/2026
Jezi inavuja hata muda wa utambulisho bado hii nayo kipengeleπ
π
π
31/07/2026
Teka la mabao limeanza kazi leo limetupia goli zidi ya Singinda big star muite Doumbia Osimenππππππ
30/07/2026
Mayele aaga rasmi kunako klabu ya Pyramid sasa kituo kinachofuata ni wapi mimi nawewe tunajua anapokwenda .πππππππ
Limayele halafu Li Fei toto
Hii simba sc sijui itakuaje tu.π€£
30/07/2026
Tayari Simba sc imeondolewa kwenye mashindano ya Kagame cup kutokana na point zake kuzidiwa na Rayon sports na Al hilal hivyo ni rasmi simba sc ameishia hatua ya makundi . Pre season inaendelea au maana wamebakiza mechi moja na Singida big star.
Neno moja kwa JAYRUTTY
πππ
Hapa yanga ni wawili tu wenye akili mnembe π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£
29/07/2026
Nimepenyezewa za ndaani kabisa nikuwa boss kakasirika hataki aibu ndogo ndogo , kasema wana simba sc msimu ujao mtaenda kujisaidia tena mara tatu msimu huu .π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£
Click here to claim your Sponsored Listing.
Location
Category
Website
Address
Mwanza