05/07/2026
Hali ilivyo pale Kariakoo kwa simba sc rbana hii kufuru ,hiyo ya jana ni utumbo tu ila leo mji umechangamka vilivyoπππππππ
let's share our ideas together
05/07/2026
Hali ilivyo pale Kariakoo kwa simba sc rbana hii kufuru ,hiyo ya jana ni utumbo tu ila leo mji umechangamka vilivyoπππππππ
Leo ndiyo PAREDI
La jana lilikuwa PIRIODI
πππ
Simba sc raha ya ubingwa wa CRDB CUP. Sasa kitu kinachofuata ni paredi πππππππππ
Simba sc bingwa CRDB CUP
04/07/2026
Kikosi cha Simba sc zudi ya Azam fc kombe la CRDB
Goli la Chama la wasubiria Yanga sc kwenye paredi yao leoπππππ
Kapesah Sports Update
Vipi yanga bado mnammiliki FEI TOTO au tuwaache kwanza mlipe deni la m100 kwenda TFF
πππ
Sisi tupo bize na fainali ya CRDB FEDERATION CUP.π€£π€£π€£π€£
02/07/2026
Peter Shelulile aagwa pale Mamelod Sundown masandawana na kituo kinacho fuata ni ...see more
Simba sc ndiyo klabu iliyoingiza pesa nyingi msimu huu na bado kuna CRDB Federation CUP inakuja
Ukibisha leta hoja.