Moshi Warriors Football Club

Moshi Warriors Football Club

Share

Moshi Warriors Football Club. The club that found Moshi, Kilimanjaro

Photos from Moshi Warriors Football Club 's post 18/12/2023

Weekend hii tulikuwa Mbeya Kuikabili Tanzania Prisons katika mchezo wa kombe la Shirikisho la Azam.

Mchezo ulimalizika kwa ushindi wa penati 6 kwa 5 na tukafanikiwa kufuzu hatua inayofuata.

Weekend hii tunawakabili Mapinduzi katika muendelezo wa michezo ya First League katika Uwanja wa Chuo Kikuu Cha Ushirika Moshi

29/11/2023

Our Team Our Family TRA Kilimanjaro FC "Moshi Warriors "

Kigoma we are Coming Very Soon..

24/11/2023

Jumamosi Hii November 25 mwaka ni Zamu yetu tena kutoa burudani ya kiwango Toshelevu!

Kwa Uchakavu wa Shilingi 2000 tu unafurahia burudani ndani ya dimba la Chuo Kikuu cha Ushirika.

Photos from Moshi Warriors Football Club 's post 12/11/2023

Baada ya kupoteza mchezo uliopita leo tumeshinda ugenini mabao Matatu kwa Sifuri dhidi ya Kurugenzi .

Inaendelea

27/10/2023

Operations Point 3 Inaendelea tena kesho katika Dimba la Chuo Kikuu Cha Ushirika Moshi Dhidi ya Tanesco.

Photos from Moshi Warriors Football Club 's post 23/10/2023

Timu yetu ya TRA Kilimanjaro FC " Moshi Warriors " Imeanza Safari ya Matumani Makubwa kuelekea Championship.

Ni baada ya kuibuka na ushindi wa bao mbili kwa sifuri dhidi ya Alliance FC kutoka Mwanza.

Sasa iko chimbo ikijiandaa  na mchezo Mwingine Jumamosi hii dhidi ya Tanesco FC katika dimba la Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi.

.

18/10/2023

Jumamosi hii 21.10. Mwaka huu saa kumi kamili jioni katika dimba la Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi kutakuwa na Mchezo mzuri Sana.

TRA Kilimanjaro FC " Moshi Warriors " Fahari ya Kilimanjaro wataikaribisha Klabu Soka ya Alliance kutoka mwanza ukiwa ni mchezo wa kwanza katika muendelezo wa michezo ya ligi ya kwanza ( First League) msimu huu wa 2023/2024.

Ewe Mkazi wa Kilimanjaro na Kaskazini kwa ujumla. Tenga Shilingi 2000 tu kwa Ajili ya Kiingilio chako uje kushuhudia mtanange huu maridhawa kabisa.

14/10/2023

TAARIFA

Kesho Jumapili 15.10.2023 kutakuwa na mchezo wa kirafiki utakaowakutanisha TRA Kilimanjaro FC  iliopo First League dhidi ya Polisi Tanzania iliopo Championship katika Dimba la Chuo Kikuu Cha Ushirika Moshi Saa kumi kamili jioni.

Huu ni mchezo mzuri na muhimu kuelekea mchezo wa kwanza wa kimashindano kwa TRA Kilimanjaro FC utakopigwa October 21 mwaka huu saa kumi kamili jioni katika dimba hilohilo la Ushirika dhidi ya Klabu Soka ya  Alliance Kutoka Mwanza.

Kiingilio cha mchezo huo ni  Shilingi Elfu moja tu! 

Imetolewa Na Idara Ya Habari
TRA Kilimanjaro FC.

Want your business to be the top-listed Gym/sports Facility in Moshi?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Category

Telephone

Website

Address


Moshi Town
Moshi
255