07/06/2026
Tumecheza mechi ya kirafiki na Fountain Gate Football club leo ikiwa ni maandalizi ya michezo ijayo ya ligi kuu.
Imeisha nyau-nyau…🔋⚽️🔥
official page of @jkt_tanzania_fc
Mabingwa wa championship 2021-2023
#doubleK
#WajengaNchi
07/06/2026
Tumecheza mechi ya kirafiki na Fountain Gate Football club leo ikiwa ni maandalizi ya michezo ijayo ya ligi kuu.
Imeisha nyau-nyau…🔋⚽️🔥
05/06/2026
Kikosi chetu kimeendelea na mazoezi siku ya leo 💪
Hizi mechi zilizobaki tunahitaji alama zote 15
04/06/2026
Kikosi chetu kilichoweka kambi mkoani Arusha ya wiki 2️⃣ kinaendelea na mazoezi kujiandaa na michezo mitano ya kumalizia ligi kuu ya NBC PREMIER LEAGUE
27/05/2026
Hakuna tena kelele🤫
25/05/2026
Tukiwa tunaendelea kufurahia ubora wa JKT Tanzania FC hatuwezi kuacha kufurahia siku muhimu za watu waliopo sehemu ya project hii bora kabisa.
Heri ya siku ya kuzaliwa kwa Admin wetu Mr. TITO LYANGA tunakutakia furaha na baraka tele kwenye kumbukizi hii muhimu ya kuzaliwa kwako.
24/05/2026
⌛:FT
MAKOSA YA KIBINADAMU YAMETUNYIMA POINTI 3️⃣
Mchezo umemalizika uwanja wa Jamhuri, Morogoro 🏟️ tukilazimishwa sare na Mtibwa Sugar
Wachezaji wetu wamepambana na wataendelea kupambana mpaka mwisho 💪
24/05/2026
⏳:HT
Kipindi cha kwanza kimemalizika uwanja wa Jamhuri, Morogoro 🏟️ timu bora ikiwa mbele kwa mabao 2️⃣ kwa 1️⃣ dhidi ya Mtibwa Sugar
Tukutane kipindi cha pili tuongeze dozi 💪
24/05/2026
⏳:dak 01'
Mchezo umeanza hapa uwanja wa Jamhuri Morogoro 🏟️
Mungu ibariki JKT Tanzania football club
24/05/2026
Mazoezi Mepesi
24/05/2026
Kikosi chetu kimeshawasili uwanja wa Jamhuri, Morogoro🏟️