Kumbukumbu za ligi kuu ya msimu huu zinaonesha malalamiko Fc ndio timu pekee iliyonufaika zaidi na makosa ya kibinadamu ya waamuzi, lakini kwakuwa viongozi na mashabiki wa malalamiko Fc wanachangamoto ya afya ya akili na kudanganywa na wachambuzi wao wa mchongo wanashindwa kujua mapungufu yao yako wapi, badala yake wanategemea mapungufu ya timu nyingine ili wao wachukue ubingwa, katika mantiki nyepesi hilo haliwezekani, ni sawa na mwanaume rijali kunywa dawa ya kuongeza nguvu za kiume wakati hauna mke, unategemea mke wa jirani yako. Malalamiko FC msitafute visingizio na vichaka vya kujifichia, tatizo lenu nyinyi mna uongozi mbovu,tibuni huo ugonjwa msihangaike na dalili za ugonjwa mtaendelea kupotea, wenzenu wananchi ndio wanaendelea hivyo hawarudi nyuma tena, mkizubaa tu back to back 10.Yanga daima mbele nyuma mwiko.
Kassim Mgwami KD
wasiliana nami KD kupitia WhatsApp 0755733099 au [email protected]
Young Africans, forward ever, backward never.
Malalamiko FC k**a kawaida yao wametetea nafasi yao ya pili kwenye ligi kuu ya NBC.
Hatimaye makolo wameambulia manyoya. Yanga daima mbele nyuma mwiko.
Yanga bingwaaaaaasaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Njia nzuri ya kujihakikishia ubingwa kesho dhidi ya JKT Tanzania ni wananchi kujaa uwanjani kuwashangilia wapiganaji wetu kwa nguvu zote mwanzo mwisho uku wapiganaji wetu wakicheza kwa bidii kubwa na nidhamu ya hali ya juu, wasiwachukulie poa JKT wakawadharau, wawaheshimu wakati wote wa mchezo, kwa kifupi wapiganaji wetu wacheze not only hardly but also smartly. Kila timu ishinde mechi zake.Yanga daima mbele nyuma mwiko.
Wananchi kwenye countdown yetu zimebaki pointi 2 tuwe mabingwa, kwa hali ilivyo namna ya kuzipata hizo pointi 2 ni kushinda mechi ya mwisho dhidi ya JKT Tanzania. Kila timu ishinde mechi zake. Yanga daima mbele nyuma mwiko.
Kwenye countdown yetu wananchi zimebaki pointi 5 kuwa mabingwa wa NBC Premier league msimu huu 2025/2026.Kila timu ishinde mechi zake. Yanga daima mbele nyuma mwiko.
Makolo ubingwa wa NBC Premier league msimu huu msahau kabisa,ubingwa huo mliukosa pale kwenye shamba la mpunga la Isamuyo mlipotoka sare ya 2-2 na wananchi, sasa wananchi wameamua kuanza operation maalum ya kulitetea tena kombe lao, viongozi wenu na wachambuzi wenu wa mchongo wameanza tena ulaghai kutafuta chaka lingine la kufichia udhaifu wao kwenye kuendesha timu, ili wawatulize makolo mwendelee kuwavumilia, kwa stahili hiyo makolo mtafika mbinguni mkiwa mahututi sana,k**a viongozi wenyewe ndio hao. Kila timu ishinde mechi zake. Yanga daima mbele nyuma mwiko.
Bado pointi 8 kwenye countdown yetu, wananchi tutangaze ubingwa wa NBC Premier league msimu huu wa 2025/2026.Kila timu ishinde mechi zake. Yanga daima mbele nyuma mwiko.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Location
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Kidatu, Kilombero
Morogoro