Kassim Mgwami KD

Kassim Mgwami KD

Share

wasiliana nami KD kupitia WhatsApp 0755733099 au [email protected]

20/08/2026

Wananchi kileleni k**a kawaida

12/08/2026

Wananchi washindi tena wa ngao ya jamii, makolo mtasubiri sana, hapo wananchi hawakupata mechi za ushindani za kutosha kabla ya leo,mngefungwa kono la nyani bahati yenu [email protected] daima mbele nyuma mwiko.

09/08/2026

"Pesa iko benki" ni mkakati wa kizamani sana, sasa hv kinachoangaliwa ni mtiririko wa pesa kwenye mzunguko, makolo kuweni makini na kauli hiyo ya kisanii.

08/08/2026

Makolo chali kwa Polisi wa Kenya, sasa mziki wa wananchi tarehe 12/08/2026 mtauweza malalamiko@nnya FC?.

07/08/2026

Wenye nchi ni wananchi kwa mujibu wa ibara ya 8(3) ya katiba ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977.Kama hutaki nenda kalale mochwari.

04/08/2026

Mangungu vs Magori nani zaidi?.

03/08/2026

Makolo mnashindwa kufuata katiba yenu inavyotaka kwa sasa, ndio maana mlidondosha "kitope@nnya" Jangwani.Tatizo la afya ya akili.Mnatengeneza mazingira ya mgogoro wa mchongo ili mkipasuliwa na wananchi tarehe 12/08/2026 mpate kisingizio k**a kawaida yenu, malalamiko FC .Yanga daima mbele nyuma mwiko.

02/08/2026

Yanga,daima mbele nyuma mwiko.

31/07/2026

Nnya FC hatimaye imeng'olewa Kagame Cup 2026.

Want your business to be the top-listed Gym/sports Facility in Morogoro?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Telephone

Website

Address


Kidatu, Kilombero
Morogoro