11/07/2026
KOCHA MPYA ATUA Young Africans Sports Club
Klabu ya Young Africans SC (Yanga) imemtangaza rasmi aliyekuwa kocha wa Mamelodi Sundowns , Manqoba Mngqithi , kuwa kocha mkuu mpya wa timu hiyo.
Mngqithi ametua Jangwani kwa mkataba wa miaka miwili , akichukua nafasi iliyoachwa na Pedro Gonçalves , ambaye aliondolewa kwenye nafasi hiyo mapema mwezi Mei 2026.
Kocha huyo raia wa Afrika Kusini anajiunga na Yanga akiwa na uzoefu mkubwa wa kufundisha soka la kiwango cha juu barani Afrika, baada ya kuwa sehemu muhimu ya benchi la ufundi la Mamelodi Sundowns, klabu iliyotawala soka la Afrika Kusini na kufanya vizuri katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika.
27/06/2026
27/06/2026
26/06/2026
26/06/2026
26/06/2026
26/06/2026
26/06/2026