25/06/2026
Kikosi chetu kinatarajia kuondoka Jumamosi Juni 27,2026 alfajiri kuelekea wilayani Rungwe kwa ajili ya kushiriki sherehe za ubingwa wa Rungwe Veterans. Kikosi chetu kitaondoka na wachezaji 28 na viongozi 6 huku tukiwa tumejipanga kuhakikisha tunuleta ushindani mkubwa kwenye michezo maalum ambayo tutacheza siku hiyo katika Uwanja wa Tulia (Tandale) wilayani Rungwe mkoani Mbeya.
Idara ya habari
June 25/2026
02/06/2026