23/04/2023
π‘ππ«π§ π ππ§πππ°
β½οΈ Rivers UnitedπYoung Africans SC
π 23.04.2023
β± Saa 08:00π³π¬| Saa 10:00πΉπΏ
π Uwanja wa Godswill Akpabio
π
23/04/2023
" Kesho tuna mechi ngumu sana wala sio utani, Mimi ni Mtu wa kutamba sana lakini nimecheki kwenye darubini yangu kesho tuna mechi ngumu sana , kwanza tunacheza na timu yenye rekodi nzuri uwanja wa nyumbani lakini pia walipofikia sasa hivi sio mechi ya Rivers dhidi ya Yanga ni mechi ya Nigeria dhidi ya Yanga kwa sababu hakuna timu nyingine ya Nigeria ambayo ipo Robo fainali"-
Afisa habari wa Yanga SC kuelekea mchezo wa kesho huko Nigeria
Follow Page π
23/04/2023
Hongera Simba Kwa kushinda mechi ya Leo mnastaili pongezi sana .ila fulaha isizidi kwani bado mapambano hayajaisha kule Morocco mlima ni mkubwa mno .
Ubaya ni kwamba hakuna point tatu mazee
Motisha inahitajika sana Kwa wachezaji na benchi la ufundi Kwa ujumla
Ukiangalia wapinzani walikuwa wanacheza Kwa kutegea pia Kwakurelax mno wakitegemea kulipa kisasi kwao hivyo moto utawaka wikendi ijayo
inshallah