Ulimwengu wa michezo

Ulimwengu wa michezo

Share

Page is about sports

27/01/2026

TETESI...................

Baada ya simba sc kumtambulisha winga anicet oura usiku wa jana basi klabu io inahitaji kuongeza mchezaji mwingine 1 wa kigeni ambae atakwenda kuongeza nguvu kwenye safu ya ushambuliaji ambae atakua akicheza namba moja na mwamba wa Lusaka triple c clatous chota Chama.......

Na tetesi zinasema kiungo namba 10 INNO JOSPIN LOEMBA ndio mchezaji mwenye nafasi kubwa katika miamba io ya soka Tanzania Bara na status zake ni izii hapa๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

REMEMBER NAME........

THE NAME INNO JOSPIN LOEMBA..........๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ

Amezaliwa tarehe 4/8/2004

umri wake ni miaka 22

Ni raia wa Congo Brazzaville

Nafasi yake ni namba 10 ni kiungo mshambuliaji

Agent:sport striker

Note:Lilikuwa ni pendekezo la kocha Dimitar pantev kabla ya kuachana na miamba io ya soka.

13/10/2022

Kalibuni jamani kwenye page yetu kwa ajiri ya michezo mbalimbali kwa uhakika zaidi na ukwel

Want your business to be the top-listed Gym/sports Facility in Mbeya?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Category

Telephone

Address


Mbeya