10/08/2026
🚨 RASMI: watakutana na Luton Town katika raundi ya pili ya Carabao Cup! 🏆🔵
📍 Stamford Bridge
HABARI ZOTE ZA CHELSEA KWA LUGHA YA KISWAHILI. [@Chelsea_Swahili]
|Follow Us|✓
10/08/2026
🚨 RASMI: watakutana na Luton Town katika raundi ya pili ya Carabao Cup! 🏆🔵
📍 Stamford Bridge
10/08/2026
🚨🚨GUESS WHAT
ENZO na Valentín Barco wametimba DARAJANI
wamemaliza ziara yao.... wachezaji wote wanahitajika kufika hii wiki ikiwemo captain Reece James.
unalipi lakusema kuhusu huyu ENZO FERNANDEZ?
09/08/2026
🚨🚨🚨OFFICIAL
CHALOBER amekamilisha uhamisho wake kwenda COMO .
CHALOBER amesajiliwa jumla ....
kwaheri son GOD, tunakutakia MEMA
wanakomboa dakika
go go go go goooooaaaall
Chelsea inapata bao la tatu..dakika 87
estevao kwake jackson, jackson anaeka kwa delap..delap na kipa..anapiga shot...kipa anatowa
dakika ya 6
Jackson anaangalia uwazi uko wapi...anamuekea DELAP ..DELAP yeye pekee...hii inakuwa bao ya pili ndugu wasomaji..delap anapiga..🤣
huyu GITTEN mwishowe atapigwa ngumu... Sio kwa aibu anayoleta ...anaangusha mtu na bado anamrudia na kumchenga tena 🤣🤣🤣
delap anapiga mwenyewe penalty..... go go go goooooaaaall
costa delap anampeleka sikonyo kipa.
inakuwa 1-1 dakika 42
delap ana win penalty