12/07/2026
OFFICIAL ๐ด: Klabu ya Galatasaray Istanbul ๐น๐ท imefikia makubaliano rasmi ya kumsajili kiungo wa Burnley FC raia wa Ufaransa ๐จ๐ต Lesley Ugochukwu katika dirisha hili.
Ugochukwu atajiunga rasmi na Galatasaray Istanbul baada ya makubaliano rasmi kufikiwa kikamilifu.
FOLLOW US.
12/07/2026
Nimeona hii picha inatumika vibaya watu mnatunga maneno yenu Kisha mnaambatanisha na picha hii,huo ni ujinga.
Kilichokuwa kinazungumzwa hapa ni kuhusu tukio la mchezaji wa Argentina ๐ฆ๐ท kutotolewa maamuzi sahihi na mwamuzi, nahodha Lionel Messi ilibidi amfate mwamuzi kumueleza malalamiko yake,kanuni za muenendo wa Mchezo zinamruhusu Nahodha mkuu kwenda kupeleka malalamiko yake Kwa mwamuzi mkuu ikiwa hatopendezwa na maamuzi ya tukio husika.
Sasa mnavoweka maneno yenu sio sawa.
FOLLOW US.
12/07/2026
Kwa mara ya kwanza kabisa, Lionel Messi atakabiliana na England katika mechi ya kimataifa ya wakubwa huku Argentina ikipambana na Three Lions kwenye nusu fainali ya Kombe la Dunia la FIFA 2026.
Nafasi ya fainali iko hatarini kwani moja ya mashindano makubwa zaidi ya soka hupata sura mpya ya kihistoria. ๐ la Dunia2026.
FOLLOW US.
12/07/2026
Naaaaam
Mimi ndio admini nisieleweka nipo upande wa Anko Nzala (Messi) Wala Al Habib Ndete Bin Ronaldo yaani nagonga tu nondo tu Kwa wote ๐.
Sio team Messi Wala Ronaldo kwahiyo msinihusishe na MAGOTI wenu Mimi ni shabiki wa Uholanzi ๐ณ๐ฑ pekee.
ENEWEI suti yangu imetoka Uturuki imepanda ndege hii.
12/07/2026
Kabla ya mechi kuanza, wachezaji wa Uingereza na Norway pamoja na benchi waamuzi walitengeneza duara maalumu la kumuenzi Marehemu Jayden Adams aliyefariki dunia siku ya Jana.
Uwanja mzima ulimaa kimya Kwa dakika 1 kuenzi kifo Cha mchezaji huyo wa RSA ๐ฟ๐ฆ ambae wiki chache nyuma alicheza kwenye mashindano ya kombe la dunia pia....
FOLLOW US.
12/07/2026
REKODI โ
: Kwa mara ya kwanza kombe la dunia linashuhudia nusu fainali ikizikutanisha timu 4 kutoka kwenye top 4 ya timu za juu zaidi kwenye rank za FIFA.
Argentina ๐ฆ๐ท,
France ๐จ๐ต,
Spain ๐ช๐ฆ,
England ๐ด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ.
FOLLOW US.
12/07/2026
OFFICIAL CONFIRMED โ
: Enzo Fernandez hatoondika Chelsea FC ataendelea kusalia klabu I happy na amefuta kabisa harakati zake za kujaribu kutaka kuondoka klabu hapo.
Katika hatua nyingine Chelsea FC umeamua kumuondoa kikosini Alejandro Gernacho,hayupo kwenye mipango ya timu msimu ujao,ni rasmi atauzwa katika dirisha hili kubwa hatokuwa sehemu ya Chelsea FC msimu ujao.
FOLLOW US.
12/07/2026
OFFICIAL CONFIRMED โ
: Hatua ya nusu fainali itazikutanisha timu zifuatazo:
France ๐จ๐ต vs Spain ๐ช๐ฆ
England ๐ด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ vs Argentina ๐ฆ๐ท
Mechi zitachezwa kuanzia July 14.
FOLLOW US.
12/07/2026
Argentina ๐ฆ๐ท wameendelea walipoishia ni utake watakufunga usitake watakufunga,haoooooo mpaka nusu fainali sasa ni uso kwa uso na Uingereza ๐ด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ.
Julian รlvarez ameonesha kiwango Bora sana mpaka akatangazwa kuwa mchezaji Bora wa mechi.
FOLLOW US.