16/06/2026
Rashford arejea ndani ya Manchester united.
KWA MATANGAZO 0677413491πΉπΏ kusini Sports13 twitter
16/06/2026
Rashford arejea ndani ya Manchester united.
16/06/2026
Aibu utaona wewe π€£π€£
14/06/2026
Wazee wa Roho mbaya π€£π€£
Mr ZooooomπΈπΈ
12/06/2026
Hongera Simba queen Tanzania πππ
12/06/2026
Kocha Nasreddine Nabi (60) πΉπ³ amefikia makubaliano ya kuwa kocha mkuu wa klabu ya Raja Casablanca π²π¦ kwaajili ya kuitumikia klabu hiyo kwa msimu ujao wa 2026-27. ππ
Naby anachukua nafasi ya Fadlu Davis ambae amefukuzwa Jana
12/06/2026
Shirikisho la mpira wa miguu Duniani FIFA Imetoa siku 45 tu kwa Klabu ya Yanga iwe imewalipa Klabu ya Tp Mazembe pesa zao za mauzo ya mshambuliaji Jean Baleke.
FIFA imesema k**a hawatalipa ndani ya siku 45 basi Klabu ya Yanga watafungiwa kutosajili katika madirisha matatu mfululizo.
11/06/2026
Rihanna kajizaa Mwenyewe.ππ
11/06/2026
Klabu ya Young Africans SC imefikia makubaliano ya kuachana na beki wao wa kulia Israel Mwenda πΉπΏ kwa kuvunja mkataba wake wa miaka mitatu!.
10/06/2026
Muda wowote kuanzia sasa kocha Fadlu Davis atafukuzwa kazi katika Klabu yake ya Raja Casablanca baada ya matokeo mabaya ya Klabu iyo.