06/07/2026
🚨 BREAKING:
Kwa mujibu wa , Simba SC imeanza Mazungumzo na Sekhukhune Utd kumnasa star winger Keletso Makgalwa (29).
🐸 Licha ya Yanga kuonyesha nia, Simba imepewa kipaumbele cha kushinda saini yake.
🦁 Huyu ni winga teleza wa zamani wa Mamelodi, raia wa Afrika Kusini. Ana Kasi na anajua Kufunga Magoali, ndiyo maana alipewa jina la utani 'Aguero'.
Je Wana Msimbazi! Unamwonaje Mchwzaji huyu ⁉️ Dondosha Maoni Yako Hapo Chini 🦁✍️
.
05/07/2026
05/07/2026