08/06/2026
😬🌕 Nyota chipukizi wa Hispania, Lamine Yamal, amefunguka kuhusu kushindwa tuzo ya Ballon d'Or na kukiri kuwa aliamini angeibuka mshindi siku hiyo.
🗣️ Lamine alisema:
"Kwa kweli, nilidhani ningeshinda Ballon d'Or siku hiyo. Lakini ni jambo zuri kwamba Ousmane Dembélé ndiye aliyeshinda. Haikuwa wakati wangu bado kushinda tuzo hiyo."
"Bado nilikuwa kijana mdogo na huenda nisingeweza kuthamini uzito wa mafanikio hayo k**a alivyofanya Dembélé." 🫂
Lamine amesema kushindwa kwake kulimjenga zaidi binafsi na kumfanya kuwa mtu bora, huku akisisitiza kuwa amerejea akiwa na nguvu mpya.
✨ "Leo nimeinuka tena... na tutaona k**a mwaka huu ndiyo utakuwa mwaka wangu wa kushinda Ballon d'Or." 💭🏆
🔥 Je, unadhani Lamine Yamal ana nafasi ya kushinda Ballon d'Or 2026? 🤔🌟
01/06/2026
Katika mechi ya kirafiki kati ya Ujerumani na Finland usiku wa kuamkia leo , sheria mpya ya mipira ya kurusha ( throw-ins) ilianza kutumika, sheria ambayo itaonekana pia kwenye Kombe la Dunia.
Waamuzi wa pembeni watakuwa wakinyanyua mkono na kuanza kuhesabu hadi sekunde 5. Ikiwa timu haitarusha mpira wa pembeni ndani ya muda huo, mpira utatolewa kwa timu pinzani. ⏱️❌
Kitu cha kuvutia zaidi kuhusu sheria hii ni kwamba hesabu haitaanza mara tu mchezaji anapouchukua mpira. Badala yake, muda utaanza kuhesabiwa pale mwamuzi atakapothibitisha kuwa mpira ni wa timu hiyo kurusha. 👀
Lengo la sheria hii ni kupunguza upotevu wa muda na kuongeza kasi ya mchezo. 🔥⚽
23/05/2026
🚩 Msimamo wa Nbc primier League baada ya mechi za Leo kumalizika.
Je, Timu yako ipo nafasi ya ngapi kwenye msimamo huu?
🔥🔥
22/05/2026
🚨 RATIBA YA LEO VIWANJANI IJUMAA YA MAY 22-2026.💣
🇹🇿 16:00 - Young Africans SC ⚔️ Singida Black Stars
🇹🇿 18:30 - Azam FC ⚔️ Tanzania Prisons FC
🇮🇹 21:45 - Fiorentina FC ⚔️ Atalanta BC
🇫🇷 22:00 - RC Lens ⚔️ OGC Nice
19/05/2026
🚨🇧🇷 OFFICIAL Kikosi cha Brazil kwa ajili ya Kombe la Dunia