14/04/2026
"Sina kinyongo chochote na Loemba kwa madhambi yaliyojitokeza kwa sababu naye alikua anatimiza majukumu yake Uwanjani
"Kwa hiyo ilitokea tu k**a sehemu ya mchezo, pia Loemba alinifuata na akaniomba radhi kwa hiyo nilichukulia kua ilitokea tu kwa bahati mbaya "__||๐ Dickson Job
Ni juu ya majeraha aliyoyapata nahodha wa Yanga Dickson Job kwenye mchezo wa Derby.
13/04/2026
๐จ...||OFFICIAL NEWS๐ฐ
Generali Duke Abuya mchezaji bora ๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐ ๐๐
๐๐๐ ๐๐๐๐๐ kwa mwezi Machi 2026
13/04/2026
๐จ..||TAARIFA RASMI
Golikipa namba moja wa Yanga Djigui Diarra ๐ฒ๐ฑ rasmi amemaliza kutumikia Adhabu aliyopewa na k**ati ya maadili ya masaa 72.
Diarra alisimamishwa michezo mitatu pamoja na Adhabu ya faini ya Tsh milioni 4. tayari Diarra amemaliza adhabu hiyo na ataungana na kikosi kuwavaa wagonga nyundo wa nyanda za juu kusini mwa nchi (Mbeya City) siku ya Alhamisi.
Pia Pacome Zouzou ๐จ๐ฎ yupo fiti anatarajiwa kuungana na kikosi kwaajili ya game zijazo
13/04/2026
๐จ...||TETESI ZA USAJILI ๐ฐ
Uongozi wa Yanga unaangalia uwezekano wa kumsajili kiungo wa Azam FC James Akaminko mwisho wa msimu huu.
Kiungo huyo mkataba wake unamalizika mwisho wa msimu huu ndani ya Azam FC huku pia taarifa zikieleza kuwa Uongozi wa Azam umeanza kufanya mazungmzo ya kumpa mkataba mpya.
Uongozi wa Yanga unavutiwa na uwezo wa Akaminko kwa muda mrefu na tayari mipango ya kumnasa nyota huyo imeshaanza kufanyika.
13/04/2026
๐จ...||OFFICIAL
Timu zilizofuzu Robo Fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB
โ
Mashujaa
โ
JKT Tanzania
โ
Coastal Union
โ
Young Africans
โ
TRA Utd
โ
Simba Sc
โ
Singida BS
โ
Azam Fc
Mechi za Robo Fainali zitachezwa Mei 16 - 17, 2026
27/03/2026
๐จ...||MICHEZO ATAKAYOIKOSA DJIGUI DIARRA.
๐ 23โ31 Machi 2026 โ Yanga SC vs TMA FC (FA Cup)
๐ 4 Aprili 2026 โ Yanga SC vs Tanzania Prisons
๐ 16 Aprili 2026 โ Yanga SC vs Mbeya City
27/03/2026
๐จ...||TAARIFA KUTOKA TFF
Djigui Diarra ๐ฒ๐ฑ amesimamishwa mechi 3 na faini ya Tsh. Milioni 2 kwa kosa la kumfanyia fujo mwamuzi wa mchezo kati ya Yanga Sc na Mtibwa Sugar uliochezwa Jamuhuri Stadium ๐ jijini Dodoma.
Diarra katozwa faini ya milioni 2 Tsh kwa kosa la kinidhamu baada ya mchezo alionyesha dole la kati wakati akitoka uwanjani (๐๐พ).
06/03/2026
TREN SGR HIYO๐ ๐ ๐ฅ ๐ฅ
ODDS: 100+
Kampuni:BetPawa
CODES: UYRR7KV
NB: Mechi zote za ligi zote tulizoweka ni kulingana na Msimamo,Umuhimu wa game,Maendeleo ya timu,Majeruhi na Nk.
Pia unaeza kupunguza baadhi ya mechi /kuedit kulingana na Matakwa na mtazamo wako
DAR ๐ KIGOMA Siku tatu
Inshallah ๐๐๐ฐ
JIUNGE NA GROUP LETU LA MIKEKA YA KILA SIKU BUREEEE
LINK CHINI
SHARE LINK YA GROUP LETU TUJAE WAKAMALIA ๐ธ๐ถ
Link hii chini Hakikisha una share kwenye MAGROUP MENGINE tuongezeke
https://chat.whatsapp.com/E1gQjfW5Gji7BVymRNcF4A?mode=gi_t
04/03/2026
โDickson Job ameumia na atakuwa nje kwa miezi miwili au inaweza kuwa tofauti kidogoโฆ! Kuhusu Pacome kiukweli bado hajakaa sawa sanaโฆ! Tutaona baada ya mazoezi ya leo na ni kweli tuna idadi kubwa sana ya majeruhi Ila haizuii sisi kujitumaโ
Pedro Goncalves, Kocha wa Yanga SC kuelekea mchezo wa Kesho vs Singida Black Stars
FOLLOW US ๐
https://whatsapp.com/channel/0029VbBAmiM0rGiONFHZQ40g
09/02/2026
Over 1.5
2' minutes โ (1-0)
40' minutes โ (Goal VAR _ Offside)
60' minutes โ (Goal VAR _ Offside)
90' minutes โ (Penalty Awarded)
Two (2) minutes added
90+1 โ (Penalty Saved)
FULL TIME โ(1-0)
08/02/2026
โSijaridhishwa na tulivyocheza leo...! Ni vile tumetuzu robo ambacho ndio ilikuwa muhimu...! Jumapili tunacheza vs AS FAR na tutatakiwa kuonesha tupo serious na mashindano...Tunatakiwa kuamua tuongoze kundi na si
vinginevyo..! Tutalazimisha kushinda na itatakiwa iwe hivyo...!
Ni lazima tushindeโ
๐ฃ๏ธ Jess Thorup Kocha wa Al Ahly