02/07/2026
Mambo yanayochangia kukwamisha vijana wengi kutokufikia malengo yao ni kiburi, kukosa ujuzi, kushindwa kupangilia muda, kiu ya mafanikio ya haraka, maisha ya mitandaoni, kukosa uaminifu, kutokua tayari kujifunza na mengineyo mengi. Coach wetu lugaila alitupa madini mengi katika kuhakikisha tunakimbia na malengo yetu. Don't miss our next event!
30/06/2026
And the run began! K**a vijana tunathamini mazoezi lakini sio mazoezi tu ya kawaida bali mazoezi yenye malengo ambayo ni kuimarisha miili yetu na kujenga afya zetu. We don't just run but we run with purpose.
22/06/2026
Zab 150:6 SUV
[6] Kila mwenye pumzi na amsifu BWANA. Haleluya.
Mtu mzuri wa Mungu hii si ya kukosa kabisa jumapili hii tutakuwa na ibada moja tuu ya KUSIFU NA KUABUDU. Mahali pa kukutania Ni Akuzamu International Church bahari beach, Usije peke yako njoo na rafiki zako
Tutakuwa na mtumishi wa Mungu Lisu atatuhudumia pamoja na Akuzamu praise team na wengine wengi sana. 💃💃💃🔥🔥🔥
20/06/2026
Ni furaha yetu kukualika mtu mzuri wa Mungu siku ya kesho jumapili kwenye Ibada yetu nzuri kabisa ya kuwashereheke wakina baba wote duniani.
Tutakuwa na ibada moja tuu itakayo kuwa na vitu vizuri, usipange kukosa mtu wa Mungu. Usije peke yako mualike na rafiki yako.
18/06/2026
Je unazijua AHADI ambazo Mungu amekuandalia kwenye maisha yako? Karibu ungana nasi kwenye ibada ya ijumaa. Mtumishi wa Mungu baba yetu Rev. Dr. Edward Amri atakufundisha na kukuombea, Usije pekeyako.
18/06/2026
Karibu tuungane pamoja katika IBADA nzuri sana ya Ijumaa,K**a una changamoto yoyote Mungu ANAKWENDA kufanya JAMBO,sijui unateseka na Nini ila ninachojua Mungu ni WA wakati na majira ,na majira yako ni haya ,Mungu ANAKWENDA kukushangaza.
14/06/2026
IBADA YA LEO HAKIKA TULIMUONA MUNGU KWA AINA YAKE,TULIPATA KUJUA AHADI KUU AMBAZO ALITUPATIA K**A WATOTO WAKE,AHADI HIZO IKIWEPO UKOMBOZI WA MWANADAMU KUPITIA UZAO WA MWANAMKE ,PALE ADAMU WA KWANZA ALIPO ANGUKA KATIKA BUSTANI YA EDEN.
13/06/2026
Welcome to our Sunday service,
Don't plan to miss beautiful children of God.