12/06/2020
Jonas Mkude atakuwa nje ya uwanja kwa muda wa wiki mbili baada ya kupata majeruhi kwenye mchezo wa kirafiki dhidi ya KMC.
Akiwa nje ya uwanja Mkude ataendelea na mazoezi mepesi pamoja na matibabu.
12/06/2020
EYMAEL Kumekucha Jangwani.
June 12,2020.
Akizungumza na BINGWA jana kutoka Shinyanga, Meneja wa timu hiyo, Abeid Mziba, alisema wamefanya mazoezi chini ya Charles Mkwasa, kwani kocha mkuu anatarajia kuungana na kikosi leo.
Alisema kati ya wachezaji waliokuwa wamebaki Dar es Salaam, kipa Metacha Mnata, amefika jana asubuhi na Bernald Morrison anaweza kufika leo.
“Tupo mazoezini jioni hii (jana) katika uwanja wa Fresho, kocha mkuu atakuwepo katika mazoezi ya kesho, Metacha amekuja na ndege ya asubuhi amewahi lakini pia Morrison atakuja asubuhi (leo),” alisema.
Katika hatua nyingine Mkuu wa Msafara Dominic Albinus ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati ya Utendaji alitaja sababu ya timu hiyo kufika alfajiri kuwa imetokana na changamoto walizopata njiani.
Albinus amezungumza na tofutti ya klabu hiyo, kuwa msafara wa timu hiyo ulichelewa baada ya gari yao kupata hitilafu ya kupasuka tairi ya mbele eneo la Manyoni mkoani Singida.
“Tumechelewa sana, lakini tunawashukuru sana wanachama na mashabiki wa Shinyanga ambao wametusubiri hadi alfajiri kutupokea, hii imetupa faraja kubwa na kwa wachezaji imewatia moyo,” alisema.
14/08/2019
Kocha Mkuu wa Klabu ya Chelsea, Frank Lampard amethibitisha kuwa kiungo wake N'Golo Kanté atakosekana kwenye mchezo wa leo wa UEFA Super Cup dhidi ya Liverpool utakaochezwa saa 4 usiku
-
Aidha, Lampard amesema atandelea kuwatumia zaidi wachezaji chipukizi ambao ni Mason Mount na Tammy Abraham kwenye kikosi chake
13/08/2019
MICHEZO: Mkurugenzi wa Klabu ya Barcelona, Eric Abidal amesafiri kuelekea nchini Ufaransa kwa ajili ya kufanya mazungumzo na Klabu ya Paris Saint-Germain ili kumrudisha Camp Nou Mbrazil, Neymar
> Mchezaji huyo aliondoka Barcelona kwenda PSG kwa usajili uliyoweka rekodi wa Euro milioni 200 mwaka 2017
01/08/2019
NICOLAS PEPE ASAJILIWA RASMI ARSENAL
- Mchezaji huyo raia wa Ivory Coast (24) amesaini kandarasi ya miaka mitano kwa dau la Paundi Milioni 72
- Anakuwa mchezaji ghali kusajiliwa Arsenal
Unadhani Pepe, Lacazette na Aubameyang watafunga magoli mangapi jumla msimu ujao?
01/08/2019
Guardiola, Klopp washikana mashati tuzo ya Kocha Bora FIFA
Unafikiri ni nani anafaa kuwa kucho bora wa FIFA kwa msimu uliopita
01/08/2019
Kiungo wa klabu ya Manchester United Paul Pogba amesema kwamba alikua akivutiwa sana kujiunga na klabu ya Real Madrid ya Hispania ila kutokana na muendo wa klabu hiyo hivi sasa anaweza kuwa hana ndoto za kujiunga na klabu hiyo
01/08/2019
Hizi ndio Jezi mpya za SIMBA SC kwa msimu mpya wa 2019/2020
01/08/2019
Mancheater united Pia wamewakilisha ada ya paun 80 milion kwa harry maguire na baada ya zile ofa za awali kukataliwa UNITED wanataka kumfanya beeki huyo wa kingereza kuwa beki ghali zaid duniani
01/08/2019
Uhamisho wa mabadilishano kati ya paul dyabala na Lukaku sasa umebakia hatua chache kati ya manchester united na mchezaji klabu na klabu zimeshakubaliana