13/08/2026
Macho mbele Wana Simba wenzangu hii imeshapotea haikua rizki na hatuna sababu ya kulaumiana wala kutafuta mchawi
Kuna nyakati tulikua bora hatukutumia ubora huo kupata matokeo na kuna nyakati mpinzani wetu alikua bora akatumia ubora wake kupata matokeo
Tusikatishwe tamaaa wala tusijipoteze njiani, Tunayo safari muhimu sana mbele yetu Mechi 30 za ligi kuu
Nikiri tu kuwa Timu yetu inahitaji maboresho hasa kwenye eneo la ushambuliaji ndio eneo pekee mpaka saaa bado hatujafanya vizuri
Poleni Wana Simba wenzangu, Nguvu sasa tuielekeze kwenye mechi ya ufunguzi wa ligi dhidi ya Kagera Sugar
Ally
13/08/2026
NgaoYaJamii2026
Yanga washindi tena wa Ngao ya Jamii...
FT: Yanga SC 1-0 Simba SC
⚽ Albert Kangwanda dk 31
12/08/2026
Vikosi vinavyoanza Young Africans dhidi ya Simba SC Ngao ya Jamii 2026
15/06/2026
UBERIGIJI VS MISRI BUREEEEE TAZAMA 👉https://bungolive.online
14/05/2026
Mwamba wa Lusaka 🇿🇲, Clatous Chota Chama aendelea kuwasha moto ndani ya Simba SC baada ya kuwa nyota wa mchezo kwa mara ya nne mfululizo. 🔥 Kiungo huyo fundi amefunga mabao mawili dhidi ya Mashujaa FC na sasa amefikisha jumla ya magoli 8 kwenye NBC Premier League msimu huu. ⚽⚽
📊 Goals: 08
🎯 Assists: 04
14/05/2026
Simba SC waondoka na pointi tatu muhimu ugenini baada ya kuibuka na ushindi mnono dhidi ya Mashujaa FC. 🔴⚪
Ni mara ya kwanza kwa Mashujaa FC kupoteza mchezo wa nyumbani msimu huu.
FT: Mashujaa FC 0-3 Simba SC
⚽⚽ Chota Chama
⚽ Suleiman Mwalimu 🔥
13/05/2026
‘Unbeaten is over’; 🔥
Kwa mara ya kwanza katika historia ya mikutano yao kwenye Ligi Kuu ya NBC, Dodoma Jiji wamefanikiwa kuibuka na ushindi dhidi ya Yanga SC.
FT: Dodoma Jiji 3️⃣-2️⃣ Yanga SC
Dodoma Jiji wameivunja rekodi ya kutowahi kuifunga Yanga na kuhitimisha ubabe wa mabingwa hao kwenye mchezo wa leo uliopigwa kwa ushindani mkubwa.
09/05/2026
KMC Kimeeleweka Yanga SC wanasalia kileleni wakifikisha alama 54 baada ya mechi 22 wakiwa wamecheza mechi moja zaidi ya Mnyama huo akifunga mabao mawili na kutoa asisti moja ikiwa ni mchango wa magoli 12 tangu atue jangwani mwezi Januari.
FT: Yanga SC 3-0 Coastal Union
⚽ 18' Okello
⚽ 62' Okello
⚽ Maxi (🅰️ Okello)
08/05/2026
| MATOKEO YA MWISHO
Kwa mara ya kwanza msimu huu wa NBC Premier League, Azam FC imepoteza mechi baada ya kuchapwa mabao 4-1 dhidi ya TRA United. ⚽🔥
FT: TRA UNITED 4️⃣ - 1️⃣ AZAM FC
Wafungaji wa TRA United:
⚽ Ally Ng'anzi
⚽⚽ Ammy Mapaka
⚽ Ramadhani Chobwedo
Bao la Azam FC: .
⚽ Jephte Kitambala
Matokeo hayo yanafuta rekodi ya kutopoteza ya Azam FC katika ligi msimu huu.