JAYM_sport

JAYM_sport

Share

⚽️ HABARI ZA MPIRA TU
🏟PATA RATIBA, MATOKEO, NA TETESI
βœ…οΈBONYEZA FOLLOW UWE FAMILIA YA SOKA kutowa habali za michezo na matangazo ya bidha mbalimbali

13/06/2026

πŸš¨πŸ’£π”ππƒπ€π“π„: Yanga wako kwenye hatua nzuri sana za kukamilisha usajili wa Aziz Ki kutoka Libya.

Ndani ya hizi siku chacha Aziz Ki atatua nchini…..possibly weekend hii anaweza kuingia Tanzania.

13/06/2026

🚨 Pep Guardiola ametangaza maneno makubwa kuhusu Cristiano Ronaldo πŸ‡΅πŸ‡Ή

πŸ—£οΈ "Ningefurahi kumuona Cristiano Ronaldo akitwaa Kombe la Dunia. Ni mchezaji wa kipekee sana wa mpira wa miguu ambaye ameiweka Ureno katika kiwango cha juu kwa karibu miaka 20. Safari yake, kujitolea kwake na mchango wake katika soka vinastahili kutuzwa kwa kushinda Kombe la Dunia."

Maneno hayo yanaonyesha heshima kubwa ambayo Pep Guardiola anayo kwa mmoja wa wachezaji wakubwa zaidi katika historia ya mpira wa miguu, Cristiano Ronaldo.

Kombe la Dunia bado ni moja ya malengo makubwa ambayo Cristiano Ronaldo hajawahi kuyafikia katika maisha yake ya soka yenye mafanikio makubwa. Ni ndoto ambayo Wareno wengi wangependa kuona ikitimia.

13/06/2026

πŸš¨ππ‘π„π€πŠπˆππ†: Neymar Atakosa mchezo wa kwanza wa Brazil wa Kombe la Dunia ya Brazil dhidi ya Morocco kutokana na Jeraha na kuna hofu kubwa akakosa mchezo wa pili wa Haiti.

13/06/2026

🚩 𝐅𝐔𝐋𝐋 π“πˆπŒπ„ : World Cup 🌎

CANADA πŸ‡¨πŸ‡¦ 1οΈβƒ£βž–οΈ1️⃣ BOSNIA πŸ‡§πŸ‡¦
⚽️ 78" Larin ⚽️ 21" Lukic

13/06/2026

🚩 𝐅𝐔𝐋𝐋 π“πˆπŒπ„ : FIFA World Cup 🌎

USA πŸ‡ΊπŸ‡Έ 4οΈβƒ£βž–οΈ1️⃣ PARAGUAY πŸ‡΅πŸ‡Ύ
⚽️ 07" Bobadilla (og) ⚽️ 73" Mauricio
⚽️ 31" Balogun
⚽️ 45+4" Balogun
⚽️ 90+7" Reyna

Photos from JAYM_sport's post 11/06/2026

Bondia Mtanzania Hassan Mwakinyo leo Juni 11, 2026 amepanda ulingoni Abidjan Nchini Ivory Coast kuwania mkanda wa IBO katika pambano la round 12 dhidi ya Bondia Michel Soro raia wa Ivory Coast na Ufaransa.

Mwakinyo katika pambano hilo la round 12 la uzito wa middleweight, amepoteza kwa kupigwa kwa TKO round ya 9 na kufanya pambano hilo kuwa pambano lake la tatu kuwahi kupoteza kwa KO.

Hili linakuwa pambano la 4 kwa Hassan Mwakinyo, Moja akipigwa kwa point na matatu kwa KO.

Michel Soro leo amepigana pambano lake la 45, amefanikiwa kushinda kwa KO kwa mara ya 28, akipoteza mara 4 na ametoka sare mara 2

11/06/2026

β—ΎNimeona pale ESPN FC wameweka picha tatu za mastaa wazamani wa timu za Taifa za Spain ,Ufaransa na Brazil alafu waka andika mastaa wa enzi hizo na wasasa

β–ͺ️Spain Kuna Xavi Hernandez na Andreas Iniesta alafu staa wa Sasa wa Kiungo ni Pedri , nikasema safi walau

β–ͺ️ France Kuna Zinedine Zizou Zidane na Thierry Henry eneo la mbele alafu staa wa Sasa kawekwa Mbappe nikasema safi mana kijana ameibeba Ufaransa sana

β–ͺ️ Brazil Kuna Ronaldo Nazario Delima na Ronaldinho Gaucho k**a mastaa wa enzi hizo alafu staa wa Sasa kawekwa Raphinha , aisee nime sikitika sana kwamba Brazil inakwenda World Cup alafu staa awe Raphinha?

Ukweli nikwamba Taifa hili kwa Sasa hawawezi Tena kutupa kile kizazi Bora kabisa kuanzia World Cup ya 2006 kushuka mpaka 1994 hizo ni World Cup zilizo fanya Brazil ika jikusanyia idadi kubwa sana y mashabiki mpaka Sasa maana miaka yote hio vikosi vilishiba mpaka vina ogopesha .

Leo Staa Raphinha akawape World Cup?

11/06/2026

πŸŽ™οΈJULIO.

πŸ—£οΈ"Simba wao wana safu kali ya kushambulia kuliko Yanga, Yanga kwangu ni nyepesi Kabisa ila nawaheshimu, Dube ni mchezaji Opportunities sio Fighter, Pacome ana kokota vizuri, Mudathir ni mjanja mjanja, Ukiwawekea watu wa kuwakaba vizuri hawachezi, Goli 5 sio kwa Julio."- Jamhuri Kihwelo 'Julio' Head Coach Mashujaa FC kuelekea Mchezo wao Dhidi ya Yanga.

11/06/2026

MAESTRO: KOSI LAKE LA URENO NI KISANGA ✍️

Challenge ilichelewa kidogo tena,jana ilikuwa kesi ya mtandao lakini leo mida ya saa 7 nilikuwa na kipengere..

Mwana hataki utambulisho ni Maestro wa facebook na leo kaleta kikosi chake cha ubingwa wa dunia..

Timu ni Ureno na kwenye formation yeye kasema anaanza na 4-1-2-3...

Golini ni mtu wa kazi Diogo Costa ,kazi ya Porto ni muda wa kuifanya Ureno...

Kwenye mabeki wawili wa kati kuna Goncalo Inacio na Ruben Dias huku pembeni kulia ni Joao Cancelo na Nuno Mendes k**a Left back..

Kwenye 1 ya kiungo wa chini, ni Joao Neves k**a ( dm) akilinda ngome huku wawili wa mbele yake mmoja ni Vitinha k**a central midfielder na Bruno Fernandes k**a playmaker...

Eneo la mwisho la magoli ni Bernado k**a RW , Rafael Leao k**a LW na Cristiano Ronaldo ni namba 9...

Challenge inaendelea πŸ™Œ

11/06/2026

🚩 𝐅𝐔𝐋𝐋 π“πˆπŒπ„ : International Friendly

PORTUGAL πŸ‡΅πŸ‡Ή 2οΈβƒ£βž–οΈ1️⃣ NIGERIA πŸ‡³πŸ‡¬
⚽️ 23" Neto ⚽️ 37" Adams
⚽️ 75" Conceicao

Want your business to be the top-listed Gym/sports Facility in Dar es Salaam?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Category

Telephone

Address


Dar Es Salaam