Michezo live

Michezo live

Share

Soma Makala Za Wachezaji/Matukio ⚽️
Rekodi Mbalimbali Za Kimichezo/ Future Star Players. Taarifa Za Michezo/Usajiri. ✅ ALL ABOUT FOOTBALL

14/06/2026

🚨Real Madrid wamefikia makubaliano na Chelsea kumsajili beki wa kushoto Marc Cucurella.

Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 27 ataungana na miamba hiyo ya Hispania kwa ada ya €60 milioni (€55 milioni za awali pamoja na €5 milioni k**a bonasi zinazotegemea mafanikio.)

Nyota huyo wa timu ya taifa ya Hispania amekamilisha makubaliano kwa haraka, na hatua inayofuata sasa ni kukamilisha nyaraka rasmi za usajili kabla ya kutangazwa rasmi na Real Madrid. ⚪🇪🇸🔥

12/06/2026

Marefa 5 BORA Duniani 🔥⚽

#

12/06/2026

🚨Klabu ya Real Madrid ipo katika hatua za mwisho za kukamilisha usajili Wa kiungo Bernardo Silva, Mkataba wake Man City unatamatika Juni 30, 2026.

Silva 31, raia wa Ureno anaondoka Man City baada ya kushinda mataji 18, yakiwemo mataji sita ya Ligi Kuu England na taji moja la Ligi ya Mabingwa Ulaya anatarajiwa kufungua ukurasa mpya Ligi kuu Uhispania.

11/06/2026

🏆🔥 TOP 5: Makocha wenye MATAJI mengi barani ULAYA!

10/06/2026

TOP 5 Mataifa madogo yenye soka bora⚽🏆

09/06/2026

🔥 TOP 5 ya TRIOS bora zilizotikisa SOKA la ULAYA ⚽🌍

08/06/2026

🔥 TOP 5 ya MABEKI bora wa kushoto kuanzia mwaka 2010 ⚽

05/06/2026

🔥⚽ Top 5: Wachezaji wenye UMRI MKUBWA zaidi 2026!

04/06/2026

TOP 5 ya Sajili Zilizochukuliwa k**a USALITI🔥⚽

03/06/2026

🏆⚽🔥 TOP 5: NCHI zinazopewa NAFASI kubwa ya KUSHINDA KOMBE LA DUNIA 2026!

゚viralシ

Want your business to be the top-listed Gym/sports Facility in Dar es Salaam?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Category

Telephone

Address


Kijitonyama
Dar Es Salaam