16/05/2026
SH*TUKA BROO
Kule nyekundu na nyeupe ukuwai kuwa injuri kwa mda huo
Vipi huku kijani na njano hii ni talent inayopotea kimya kimya
Ukichukia Sawa wewe shusha comment yako tu napokea
Habar na matangazo
16/05/2026
SH*TUKA BROO
Kule nyekundu na nyeupe ukuwai kuwa injuri kwa mda huo
Vipi huku kijani na njano hii ni talent inayopotea kimya kimya
Ukichukia Sawa wewe shusha comment yako tu napokea
08/04/2026
LAMIN JARJOR
pale kariakoo vipi hatapata namba na unaona jarsey gani zitampendeza Young Africans Sports Club au Simba SC Tanzania
08/04/2026
PANGA LA SIMBA SPORT CLUB
kuelekea dirisha kubwa
1.SOWAH
2.NABY CAMARA
3.DJIBLI KASALY - PIN PIN CAMARA
✍️ Chanzo kutoka ndani ya club kinasema Kelvin nashon amesain simba miaka 2 k**a kiungo mkabaji na mchezeshaji yaani box to box na anauwezo wa kupasia
✍️ Neo maema mda wowote anaweza kusaini mkataba mpya hapo mwanzo Simba SC Tanzania ilikua haina mipango ya kumuongeza mkataba kocha anahitaji maema aendelee kusalia
10/02/2026
Rasmi KIBU DENIS si mali ya simba tena alibakiza mkataba wa miezi Sita (6) na timu yake ya simba kukubali ofa ya million 700 kibu Denis kutimkia nchini libya
JE nipigo kwa simba/ ni faida kwa simba
Dondosha comment yako chini hapo
Sakata la simba ulivyofuatilia upande upi una changamoto
✍️ JE mashabiki kumpa masaa 72 MO dewj ni sahihi?
Tubishane kwa fact kwenye comment
31/01/2026
Timu ya simba imetangaza nafasi za kazi katika upande wa mashabiki HAYA SASA MCHANGAMKIE FURSA SIO KUMKOSOA MANGUNGU TUU PELEKA MAONO YAKO TIMU YAKO ISONGE MBELE
mda wa mashabiki kutulia kusapoti timu na kushawishi vijana wenye sifa na uchungu wa timu yenu punguzeni malalamiko jitokeze uombe nafasi
Mimi mjumbe nimefikisha ujumbe wangu
30/01/2026
RASMI club ya yanga imemtangaza mchezaji BUBA JAMMEH kuwa ni mali ya wananchi anacheza winga zote mbili ni fundiiii Sana huyu jamaaaa HILI NI BALAA JIPYA MJINI
NIPANGIE KIKOSI CHA YANGA KWENYE COMMENT
22/01/2026
Nini maoni yako
JE sahihi simba kumrudisha chama
18/01/2026
Anaitwa Olivier toure ni beki wakati yaani anacheza namba zote mbili 4 na 5 chanzo cha ndani ya simba kuwa wamemalizana nae na yupo Dar es salaam ni mtu wa maana kabisa
Hapa simba wamepata mtu kazi
17/01/2026
Rasmi club ya simba imemtambulisha mchezaji libasse gueye raia wa Senegal anasifa ya kucheza Winga zote mbili pamoja na namba 10 ile ya kisasa iko fasta na ni hatari mbele ya goli
Mtambo wa mabao na assist umetua msimbazi
✍️ Sultan Jamal