NEVES sports

NEVES sports

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from NEVES sports, Sports, Dar es Salaam.

⚽πŸ’₯𝐒𝐩𝐨𝐫𝐭𝐬 π€π§πšπ₯π²π¬π­πŸ“πŸ“²: Usipitwe na πŸ“’ Habari za nyota mbali mbali ,Updates za ligi mbalimbali, matokeo ya mechi, uchambuzi wa kina na makala kemkem🎯

πŸŒπ€π‹π‹ π€ππŽπ”π“ 𝐓𝐇𝐄 𝐋𝐀𝐓𝐄𝐒𝐓 π…πŽπŽπ“ππ€π‹π‹ π’ππŽπ‘π“π’ 𝐍𝐄𝐖𝐒
⚽

31/08/2026

Tusibetie timu nchi zao zilizopo kwenye vita leo kimenilamba dadeki fyaaaa😭

31/08/2026

Manina kweli Urusi anaishambulia sana Ukraine yaani hii timu ni ya kukosa bao 1😭

31/08/2026

Kwa utatu huu mabeki wa EPL wajiandae maana watalambishwa nyasi vibaya sana BIVπŸ”₯πŸ”₯

31/08/2026

RODRIGO DE PAUL KUPITIA INSTAGRAM BAADA YA MESSI KUTANGAZA KUSTAAFU TIMU YA TAIFA.

"Upendo wako usio na masharti kwa nchi yetu, mapambano yako ya ndani ya kutokata tamaa, nguvu zako za kuvumilia kila mara pale unapofanyiwa isivyo haki, uongozi wako na ubinadamu kwa kila mchezaji aliyefika kwenye uwanja wa mazoezi, kuhakikisha anajisikia vizuri, pamoja na namna ulivyowajali kila mfanyakazi wa timu yetu ya taifa."

"Ni kusema tu asante. Mchezaji bora zaidi wa muda wote. Asante kwa kutufanya tuwe na furaha kubwa sana. Huwezi kufikiria ni matabasamu mangapi ulileta kwenye nyuso zetu.

Wewe ni wa milele.πŸ‡¦πŸ‡·πŸ"

31/08/2026

JUST INπŸ”΄

Lionel Messi ametangaza rasmi kustaafu kuchezea Timu ya Taifa ya ArgentinaπŸ‘‹.

Baada ya miaka 20+ akiwa anaiwakilisha Argentina, Lionel Messi ametangaza rasmi kustaafu kuchezea Timu ya Taifa.

Baada ya safari ndefu iliyojaa furaha, maumivu, ushindi na kumbukumbu zisizosahaulika, hatimaye Leo ameamua kufunga ukurasa wake na La Albiceleste.

Asante kwa kila kitu, Leo. πŸ‘‹πŸ

31/08/2026

Manchester United wametumia Β£200M msimu huu wa kiangazi, lakini bado paa la Old Trafford linavuja.

Vipaumbele vyao vinashangaza sana 😭

31/08/2026

K**a uhamisho wa kina fimbo a.k.a Barcola una cost €150M.

Unadhani mtaalamu k**a Ronaldinho enzi zile yupo moto hasa, uhamisho wake ungecost kiasi gani cha pesa?

31/08/2026

CHUKUA HIIβœ…οΈ Kwa mujibu wa uchunguzi wa La Gazzetta dello Sport, hakuna mchezaji wa Kiitaliano anayekipiga Serie A msimu huu ambaye amewahi kucheza hata dakika moja kwenye mechi za Kombe la Dunia.

Hii ni mara ya kwanza kutokea tangu msimu wa 1930/31.

Photos from NEVES sports's post 31/08/2026

Inadaiwa kuwa klabu ya Atlético Madrid ilimpa JuliÑn Álvarez ruhusa kwa maandishi kuhusu yeye kujiunga na Barcelona na hata kumtaka azungumze hadharani wakati wa Kombe la Dunia kuwa anaelekea Barca.

Lakini baadaye AtlΓ©tico walibadilisha msimamo na kuvunja ahadi hiyo.

Kupitia Jota Jordi [El Chiringuito TV]

Kwa sasa, hii ni taarifa ya Jota Jordi ambayo haijathibitishwa rasmi na AtlΓ©tico Madrid.

31/08/2026

Hiki chuma kutoka Taifa la Japan Daizen Maeda jana kuna muda kilikuwa kimeanza kumpika Dalot sema hakuwa na bahati tu pua umakini wa Dalot.

Ndiyo kwanza jana mechi yake ya 2 toka atue Ipswich kutoka Celtic.

Want your business to be the top-listed Gym/sports Facility in Dar es Salaam?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Category

Telephone

Website

Address


Dar Es Salaam