Monster Tz

Monster Tz

Share

EVERYTHING IS OKAY UNDER CONTROL OF GOD

https://www.facebook.com/profile.php?id=61556051184495

08/07/2026

In the right of God

Photos from Monster Tz's post 07/07/2026

KUANGALIA MPIRA NA MWANAMKE πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚

πŸ‘©πŸΎβ€πŸ¦°"Tim gani zinacheza"
πŸ‘¨πŸ½β€πŸ¦±"Man City vs Liverpool"
πŸ‘©πŸΎβ€πŸ¦°"Mimi naipenda Liverpool"πŸ˜‹πŸ˜
πŸ‘¨πŸ½β€πŸ¦±"Safi ni timu nzur sana"
πŸ‘©πŸΎβ€πŸ¦°"ndio timu anayo chezea Messi?"
πŸ‘¨πŸ½β€πŸ¦±"Hapana hayupo kabisa kwenye hii ligi"
πŸ‘©πŸΎβ€πŸ¦°"Saw mpenzi .........na yule ndio Drake eeh?"
πŸ‘¨πŸ½β€πŸ¦±πŸ˜’"hapana....anaitwa SalahπŸ˜•"
πŸ‘©πŸΎβ€πŸ¦°"kumbe lakini wanafanana sana, sasa na ile kadi ya njano niya nini?"
πŸ‘¨πŸ½β€πŸ¦±"Lile ni onyo mchezaji kapewa kwa kucheza rafu"

Baada ya muda Foden akafunga goli
πŸ‘©πŸΎβ€πŸ¦°πŸ’ƒπŸΌπŸ’ƒπŸΌπŸ’ƒπŸΌπŸ’ƒπŸΌ"huyu aliefunga ndio Salah eeh?"
πŸ‘¨πŸ½β€πŸ¦± (kwa hasira) hapana, huyu ni Foden mchezaji wa Man City"
πŸ‘©πŸΎβ€πŸ¦°"Kwanini sasa, Liverpool nao wanatakiwa kufunga"😑😑😑
πŸ‘¨πŸ½β€πŸ¦±πŸ€πŸ€πŸ€
πŸ‘©πŸΎβ€πŸ¦°"Na ile kadi nyekundu ina manisha nini?"
πŸ‘¨πŸ½β€πŸ¦±"Ile mchezaji anatakiwa kutoka nje kwa kuvunja sheriaπŸ˜₯πŸ˜“
πŸ‘©πŸΎβ€πŸ¦°"Kwahyo anaenda kuwa kocha sindio"
πŸ‘¨πŸ½β€πŸ¦±πŸ˜³πŸ˜ πŸ˜–πŸ˜©πŸ˜«"aaaaaah hapanaaa"
πŸ‘©πŸΎβ€πŸ¦°"kumbe ni k**a Traffic lights, njano-onyo alafu nyekundu-hatariπŸ˜‹"
πŸ‘¨πŸ½β€πŸ¦±"yaah ndio hvyo"
πŸ‘©πŸΎβ€πŸ¦°"enhee vipi kuhusu kadi ya kijani?"
πŸ‘¨πŸ½β€πŸ¦±"hakuna hyo kwenye mpira"
πŸ‘©πŸΎβ€πŸ¦°"Nataka Liverpool washinde kombe la dunia"
πŸ‘¨πŸ½β€πŸ¦±πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€
πŸ‘©πŸΎβ€πŸ¦°"yule baba ni nani alafu mbona anafanana na Mr Bean?"
πŸ‘¨πŸ½β€πŸ¦±πŸ₯ΊπŸ˜°πŸ˜“"ni kocha wa Man City anaitwa Pep Guardiola"
πŸ‘©πŸΎβ€πŸ¦°"kwanini yeye hachezi sasa?"
πŸ‘¨πŸ½β€πŸ¦±: 😭😭😭
πŸ‘©πŸΎβ€πŸ¦°: "Alafu huyu nae mbona kavaa jezi tofaut na wenzake mi ananiuzi"😏😏
πŸ‘¨πŸ½β€πŸ¦±:"huyo hi refa"
πŸ‘©πŸΎβ€πŸ¦°: "yeye anachezea timu gani sasa"
πŸ‘¨πŸ½β€πŸ¦±: "zima TV tukalaleπŸ€¨πŸ˜’

17/06/2026

ASHUKULIWE MUNGU
Asante Mwenyezi Mungu nimepata nafasi ya kumshuhudia Lionel Messi wa Rosario akicheza Mpira wa Miguu, Asante Mungu wa Isaka, Mungu wa Yakobo na Mungu wa Elia, nimepata nafasi ya kuona moja kati ya kazi ya mikono yako Lionel Messi La Purga, Uzao wa Italia na Hispania unaovaa jezi ya Argentina.

16/06/2026

🚨_|| π—¨π—£π——π—”π—§π—˜π—¦

➑️ Kylian MbappΓ© atavaa beji maalum ya dhahabu kwenye jezi yake katika Kombe la Dunia la 2026. πŸ‡«πŸ‡·βœ¨

➑️ Beji hiyo ya Golden Boot ametunukiwa kwa sababu alikuwa mfungaji bora wa Kombe la Dunia la 2022 nchini Qatar, ambapo alifunga mabao 8 na kuibuka kinara wa ufungaji wa mashindano hayo.

➑️ FIFA imeanzisha beji maalum za kutambua mafanikio ya wachezaji katika Kombe la Dunia, na Mbappé ni mmoja wa nyota watakaovaa beji ya Golden Boot kutokana na rekodi yake ya ufungaji.

🌟 Heshima hii inaonyesha ubora wa Mbappé na mafanikio yake makubwa kwenye jukwaa la dunia, huku akilenga kuongeza idadi ya mabao yake na kuvunja rekodi zaidi katika Kombe la Dunia la 2026.

16/06/2026

I got over 100 reactions on my posts last week! Thanks everyone for your support! πŸŽ‰

16/06/2026

Yanga vs Azam
Kukiwasha Zenji

Want your business to be the top-listed Gym/sports Facility in Dar es Salaam?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Website

Address


0626013303
Dar Es Salaam
P.O.BOX228,MAHENGE/ULANGA