Michezo Online Library 24

Michezo Online Library 24

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Michezo Online Library 24, Dar es Salaam.

02/08/2026

Ngoma ni kiungo kiraka (versatile) mwenye uwezo wa kucheza k**a “single pivot” kwenye mfumo wa 4-3-3,pia anaweza kucheza k**a “Box to Box” kwenye mfumo wa 4-2-3-1.

Ngoma ni Mchezaji mwenye ufundi sana silaha ambayo inamfanya kucheza under-pressure na kumfanya aitoke pressing ya timu pinzani…..kwa kifupi ni “Press resistant player” 🙌

Ukiachana na ufundi Fred ana nguvu,kasi na uwezo wa kufunga safari kwenda kwenye ya timu pinzani…..Jamaa anakupa ulinzi na progression.

Mwisho kabisa Ngoma ni Deadball-specialist Jamaa anapiga sana faulo…..narudia tena jamaa anapiga sana faulo🙌

Yanga wamepata mali Aisee🙌

Nafikiri mtamfaidi sana kwenye Darby sio Siku ya Wananchi.

28/07/2026

Real Madrid ya bongo wao hawana muda wakusajili wanaojitafuta wanasajili wanaotafutwa

Kazi tunayo walah.

28/07/2026

Kumbe mnyama alishamsajili kabla ya Young Africans Sports Club 😲

28/07/2026

Mashabiki wa Simba sc wanamsema Shalulile kiwango kimeporomoka.

Mashabiki wa Young Africans Sports Club nao wanasema Doumbia hamna kitu, katoka timu inayoshikilia nafasi za kati kwenye ligi yao

Wewe mdau usiye na timu ungepita na nani hapo?

27/07/2026

WOTE WALIENDA SOUTH AFRICA
MMOJA KAJA NA KALETSO
MWINGINE KALETA SHALULILE

Huyu ni yule yule Mshambuliaji mahiri raia wa Namibia, Peter Shalulile..😁
Sio poa ujue unatoka Mamelodi Sundowns matajiri wale, una compete na wakubwa kisha unamnyakuwa strike wa Africa inashangaza sana

Alizaliwa Oktoba 23, 1993) umri miaka 32
Huyu ni ndiye nahodha wa Timu ya Taifa ya Namibia, Nafasi Anayocheza ni Mshambuliaji wa kati (Centre-Forward).

Peter Shalulile akiwa Mamelods Sundown alifunga jumla ya mabao 107 na kutoa pasi za mabao (asisti) 27 katika michezo 228.

Makombe ya LIGI alishinda mataji matano (5) ya Ligi Kuu ya Afrika Kusini.

Mkombe ya kimataifa, Alisaidia Sundowns kutwaa ubingwa wa Ligi ya Mabingwa Afrika (CAF Champions League) msimu wa 2025/26 na taji la African Football League.

Alitwaa tuzo ya mfungaji bora wa ligi mara tatu na kiungo bora wa msimu nchini Afrika Kusini.

Young Africans wameruka nae

Sasa sijui itakuwaje..😁
Kuingia uwanjani au kupaki basi🤣🤘

27/07/2026

EBWANAEEEEEEE!!

TAJIRI KATOKA KUMWAGA PESA HUKO

CAF ISIPOKUJA BONGO MMEISHA.

27/07/2026

JIESIEMU KASHANYA YAKE HUKO

𝐆𝐒𝐌 𝐊𝐀𝐌𝐀𝐋𝐈𝐙𝐀𝐀𝐀𝐀𝐀𝐀𝐀!

Bosi GSM ametoa zawadi ya Birthday kwa Rais wa Klabu yetu Eng. Hersi Said na WANANCHI kwa kushusha Sajili 𝐊𝐔𝐁𝐖𝐀 zaidi Afrika!🌍🔰🙌🏽

Kaa Tayari…

26/07/2026

𝘽𝙍𝙀𝘼𝙆𝙄𝙉𝙂 𝙉𝙀𝙒𝙎: Klabu ya Real Madrid imefikia makubaliano na RB Leipzig juu ya kumsajili winga Yan Diomande 19, raia wa Ivory Coast kwa ada ya uhamisho inayoripotiwa kufikia euro milioni 130 pamoja na nyongeza.

Vigogo hao wa Uhispania tayari wamefikia makubaliano ya maslahi binafsi ya winga huyo ambaye pia alishakubaliana na Paris Saint Germain ambayo ilishindwa kufikia dau lililotakiwa na vigogo hao wa Ujerumani.

Nyota amekubali ambaye awali alitaka kujiunga na PSG na kufikia makubaliano ya maslahi binafsi sasa amegeuzia malengo yake Real Madrid na amekubali kusaini mkataba wa miaka mitano utakaombakisha klabuni hapo mpaka Juni 2031.

Nafasi ya Vin Jr mashakani.
Mourinho anasuka bomu.

26/07/2026

K**A KWELI NI HICHI KIUMBE😲
NAKUABALIANA NA ALLY KAMWE KUWA AKITOKA DIENG AFRICA NI HUYU MWAMBA.

𝐇𝐔𝐘𝐔 𝐍𝐈 𝐁𝐎𝐑𝐀 𝐊𝐔𝐋𝐈𝐊𝐎 𝐇𝐀𝐓𝐀 𝐔𝐘𝐎 𝐆𝐈𝐑𝐈𝐌𝐔𝐆𝐈𝐒𝐇𝐀

Tetesi zinasema kwamba namba 6 wa Young Africans Sports Club ambaye anatarajiwa kutambulisha ni huyu kiumbe wa kuitwa Mohammed Zougrana Kutoka pale Algeria kwa Majili MC Alger,Ikumbuke kabla ya kujiunga na MC Alger Yanga walimtaka kipindi yupo Asec Mimosas lakini sasa Amebakisha mkataba wa mwaka mmoja

Kwangu mimi utakuwa usajili Bora k**a itakuwa kweli hata huyo Girimugisha kwasababu Yanga sasa Hawana uhaba sana wa Mawinga na uchezaji wa Girimugisha ni k**a Pacome ila tatizo la Yanga ni kiungo mkabaji,toka kuondoka kwa Aucho wamekuwa wakibahatisha wachezaji

K**a kweli ni huyu basi utakuwa usajili bora ambazo Yanga imefanya msimu huu na huu ndo utakuwa usajili bora pia k**a atakuwa wa mwisho kutokana na kiwango chake na umri wake ila tusubirie tuone

NB;Huyu dogo anajua mpira hadi anajua tena naamini k**a kweli anaweza kuziba pengo la Khalid Aucho zaidi na zaidi ila K**a siyo yeye hakuna no.6 zaidi ya DIENG AFRICA ,ntapingana wazi wazi na Ally shaban Kamwe.

26/07/2026

Unaijua Double pivot wewe?

Mimi sipendagi shida yani ningekuwa ndiye kocha hapa kubahatisha nisingeweza kabisa, kwakuwa hawa viungo wanacheza namba moja lakini sifa zao ni tofauti uwanjani

Wote wapo vizuri
Kwahiyo k**a hela ipo ningechukua wote then nawaweka pale chini kwenye dimba la kati wote wawili au nasajili wote halafu nawapima uwanjani atakae fiti kwenye mfumo anabaki mwingine dirisha dogo anatoka

Huu siyo muda wa kubeti tena dirisha dogo liko mbali mtu wangu unaweza ukachapika mpaka dirisha dogo lifike unakuwa nje ya ramani isitoshe mashindano ni mengi muda mchache,

No.6 inatafutwa kwa muda mrefu sasa

Wewe mdau ungepita na yupi hapo?

CHUKWU VS AKAMINKO

Want your business to be the top-listed Gym/sports Facility in Dar es Salaam?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Telephone

Website

Address


Dar Es Salaam