Pundit Domson

Pundit Domson

Share

Love sports

13/11/2021

Page yetu instagram

06/11/2021
06/11/2021

Saa 2:00 usiku wa leo klabu ya Simba itamtangaza kocha wake mkuu mpya .

SaSA FANYA KUFOLLOW PAGE YA MICHEZO ILI UWE WA KWANZA KUMJUA

FOLLOW PAGE YA MICHEZO KWA TAARIFA INAYOITWA PUNDIT DOMSON

06/11/2021

Enock Inonga mlinzi wa Simba SC amepigwa faini ya Tsh 1,000,000 na atakosa mechi tatu kwa kosa la kumpiga kichwa mchezaji wa Coastal Union.

Inonga atazikosa mechi zifuatazo za timu yake :

Ruvu Shooting vs Simba SC
Simba SC vs Yanga SC
Simba SC vs Geita Gold

Photos from Pundit Domson's post 06/11/2021

U*i mpya wa BIASHARA UNITED

05/11/2021



TETESI AMBAZO ZINAZAGAA KUHUSU CLATOUS CHAMA KURUDI TANZANIA KATIKA KLABU YANGA TAARIFA SIO ZA KWELI NI VIJIMANENO TU ILI KUCHANGAMSHA UPEPO WA KIMICHEZO

04/11/2021

- Golikipa wa Arsenal Aaron ameitwa kwenye kikosi cha timu ya taifa ya England 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 🔥

04/11/2021

Official ; Klabu ya Manchester Utd umethibitisha kuwa itamkosa mlinzi wao wa kati Raphael Varane kwa takribani mwezi mmoja kutokana na kuuguza majeraha.

04/11/2021

Mlinzi wa klabu ya Azam fc Daniel Amoah 🇬🇭 amwongeza mkataba wa miaka miwili (2) kuendelea kuitumikia klabu ya Azam fc.

Want your business to be the top-listed Gym/sports Facility in Dar es Salaam?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Category

Telephone

Address


Dar Es Salaam