13/11/2021
Page yetu instagram
Love sports
13/11/2021
Page yetu instagram
06/11/2021
06/11/2021
Saa 2:00 usiku wa leo klabu ya Simba itamtangaza kocha wake mkuu mpya .
SaSA FANYA KUFOLLOW PAGE YA MICHEZO ILI UWE WA KWANZA KUMJUA
FOLLOW PAGE YA MICHEZO KWA TAARIFA INAYOITWA PUNDIT DOMSON
06/11/2021
Enock Inonga mlinzi wa Simba SC amepigwa faini ya Tsh 1,000,000 na atakosa mechi tatu kwa kosa la kumpiga kichwa mchezaji wa Coastal Union.
Inonga atazikosa mechi zifuatazo za timu yake :
Ruvu Shooting vs Simba SC
Simba SC vs Yanga SC
Simba SC vs Geita Gold
06/11/2021
U*i mpya wa BIASHARA UNITED
05/11/2021
TETESI AMBAZO ZINAZAGAA KUHUSU CLATOUS CHAMA KURUDI TANZANIA KATIKA KLABU YANGA TAARIFA SIO ZA KWELI NI VIJIMANENO TU ILI KUCHANGAMSHA UPEPO WA KIMICHEZO
04/11/2021
- Golikipa wa Arsenal Aaron ameitwa kwenye kikosi cha timu ya taifa ya England 🏴 🔥
04/11/2021
Official ; Klabu ya Manchester Utd umethibitisha kuwa itamkosa mlinzi wao wa kati Raphael Varane kwa takribani mwezi mmoja kutokana na kuuguza majeraha.
04/11/2021
Mlinzi wa klabu ya Azam fc Daniel Amoah 🇬🇭 amwongeza mkataba wa miaka miwili (2) kuendelea kuitumikia klabu ya Azam fc.