17/09/2021
RASMI
Mechi mbili za kwaza za mkondo wakwanza wa LIGI YA MABINGWA AFRICA zimepatikana.
USGN ๐ณ๐ช vs ๐ช๐ฌ Al Ahly
Jwaneng Galaxy ๐ง๐ผ vs ๐น๐ฟ Simba SC
page yangu ni maalum kwa habari za michezo za ndani na nje ya tanzania ๏ฟฝ
17/09/2021
RASMI
Mechi mbili za kwaza za mkondo wakwanza wa LIGI YA MABINGWA AFRICA zimepatikana.
USGN ๐ณ๐ช vs ๐ช๐ฌ Al Ahly
Jwaneng Galaxy ๐ง๐ผ vs ๐น๐ฟ Simba SC
26/03/2021
โ๏ธ Goli bora la mwezi, Nadhan anaestahili zaidi ni LAMELA dhidi ya Arsenal
26/03/2021
โ๏ธ Mchezaji bora wa mwezi
26/03/2021
๐Makocha wanaowania tuzo ya kocha bora wa mwezi Machi katika Ligi Kuu ya EPL.
๐ Potter
๐ Rodgers
๐ Solskjaer
๐ Tuchel
26/03/2021
Euro Mil 180
Borussia Dortmund wameweka bei ya Euro Milioni 180 kwa klabu yeyote ambayo inataka kuinasa saini ya mshambuliaji Erling Haaland msimu huu wa joto.
Klabu ambazo zinavutiwa na Haaland
๐ด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ Manchester City
๐ด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ Manchester United
๐ด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ Chelsea
๐ช๐ธ Real Madrid
๐ช๐ธ Barcelona
๐ฉ๐ช Bayern Munich
Source : ESPN
Zambia ๐ฟ๐ฒ
DR Congo ๐จ๐ฉ
Tanzania ๐น๐ฟ
Angola ๐ฆ๐ด
Kenya ๐ฐ๐ช
Togo ๐น๐ฌ
๐ Hizi ndio nchi zilizoshindwa kutinga AFCON.
25/03/2021
๐ EPL kuanza kutimua vumbi Agosti 14.
Ligi Kuu ya Uingereza msimu wa 2021/22 utaanza Agosti 14 na kumaliza Mei 22.
โ๏ธKufuzu Afcon
FT South Africa ๐ฟ๐ฆ 1-1 ๐ฌ๐ญ Ghana
FT Gabon ๐ฌ๐ฆ 2-0 ๐จ๐ฉ DR Congo
FT Gambia ๐ฌ๐ฒ 1-0 ๐ฆ๐ด Angola
FT Kenya ๐ฐ๐ช 1-1 ๐ช๐ฌ Egypt
FT Botswana ๐ง๐ผ 0-1 ๐ฟ๐ผ Zimbabwe
Full time
Kenya 1-1 Egypt
โ๏ธ Majirani zetu wameondolewa kwenye mashindano yakishiriki AFCON
25/03/2021
๐ Kila la heri Taifa stars