29/08/2026
Ukisikia ile kauli ya Pesa Sio kila kitu inabidi uamini tu๐๐
Klabu ya England Tottenham Hotspurs Ilitumia zaidi ya Paundi 300M kwenye usajili wao Msimu huu ili kujenga timu baada ya kunusurika kushuka daraja lakini cha kushangasa wamepoteza mechi mbili zote na wapo mkiani yani nafasi ya 20๐.
29/08/2026
Steve Barker na Simba sc Msimu huu wana Jambo lao... Yan haiishi mpaka iishe๐ฅ๐ฅ
29/08/2026
Manqoba Mngqithi, Effect ๐ฅ๐ฅ๐๐
29/08/2026
Hawavumi lakini wamo..๐ฅ๐ฅ
Mwamba mdogo mdogo anajitenga na maji
28/08/2026
Ni AIBU kipaji k**a hichi kinashindwa kuitumikia Timu ya Taifa ya Kongo. Nzengeli anakupa kila kitu uwanjani yani kuna muda nafikiri angekuwa mchezaji wa Stars angetusaidia sana.
Serikali na Chama cha Mpira wa Miguu Tanzania inabidi itumie akili sana kushawishi vipaji k**a hivi viwakilishe Taifa Stars kimataifa walau tutafika malengo flani.
We unalionaje hilo?
28/08/2026
Mwamba huyu hapa ndo ameanza kazi yake rasmi ilikuwa ni swala la muda na leo dhidi ya Pamba jiji Toure ametoa nuksi kwa kufunga
27/08/2026
SHA SHA vs Osimhen wa BOngo๐ฅ๐ฅ
Nawakumbusha ndo kwanza ligi imeanza bado mbichi kabisa hivyo comment ziwe fupi fupi tu.
27/08/2026
Mwamba huyu hapa katika mchezo wa leo dhidi ya Coastal Union
27/08/2026
Huyu mwamba apewe Kiatu chake mapema mana Sio kwa moto huu...๐ฅ๐ฅ๐ฅ