Tiba asili

Tiba asili

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Tiba asili, Mlimani city, Dar es Salaam.

Hii ni page ya tiba asili za kimarekani, utajifunza magonjwa na mambo mengi kuhusu afya zetu pamoja na suluhisho la magonjwa mbalimbali, kama presha, kisukari, shida za mifupa na maungio, bawasili, vidonda vya tumbo, nguvu za kiume, tezi dume, pid,uzazi Bf Suma ni kampuni ya kimataifa iliyojikita katika tafiti na maendeleo ya kijamii, uzalishaji na usambazaji wa bidhaa lishe asilia zisizo na kem

10/08/2026

Dalili za kuvimba kwa tezi dume (prostatitis)/(Bph)

1 Kukojoa mara kwa mara, hasa usiku.
2 Maumivu au kuwaka wakati wa kukojoa.
3 Ugumu wa kuanza kukojoa au mkojo kutoka kwa mtiririko mdogo.
4 Kuhisi kibofu hakijaisha mkojo baada ya kukojoa.
5 Maumivu sehemu ya chini ya tumbo, kinena, au mgongoni.
6 Maumivu kwenye korodani au eneo kati ya korodani na njia ya haja kubwa.
7 Maumivu wakati wa kumwaga mbegu za kiume (ej*******on).
8 Homa, baridi, na uchovu (hasa ikiwa kuna maambukizi ya bakteria).
9 Mkojo wenye damu au mbegu za kiume zenye damu (kwa baadhi ya wagonjwa).

Dalili hizi zinaweza kufanana na matatizo mengine ya tezi dume, hivyo ni muhimu kufanya vipimo hospitalini k**a vile uchunguzi wa daktari, kipimo cha mkojo, na wakati mwingine kipimo cha PSA ili kubaini chanzo halisi cha tatizo.

10/08/2026

Kwanini unaunwa magonjwa yasiyp ya maambukizi

10/08/2026

TATIZO LA KUZIDI KWA KIWAGO CHA ACID TUMBONI (ACID REFLUX-GERD)

πŠπ€π‘πˆππ”

Gastroesophageal reflux disease (GERD).
-Ni hali inayotokana na kuzid kwa kiwango cha Acid tumboni (Hydrochloric Acid) ambapo hupelekea kupanda kwa acid kutoka tumboni kuelekea katika koo la Chakula (Oesophagus) na kupelekea kudhurika kwa mfumo wa chakula upande wa juu ambao unahusisha koo la chakula na mdomo pia.

Watu wengi sana wanasumbuliwa na tatzo hili bila wao kujua wanasumbuliwa na tatzo hili na hufikia hatua wengine kudhani wamerogwa kutokana na dalili ya tatzo hili. Tutaangalia dalili ambazo mtu anaweza kugundua kuwa anasumbuliwa na tatzo hili.

DALILI ZA MTU ANAYESUMBULIWA NA KUZID KWA ACID TUMBONI (GERD-Acid Reflux
-Zipo dalili nyingi ambazo huashiria mtu kusumbuliwa na tatizo la kuzidi kwa Acid tumboni,dalili hizo ni zifuatazo:‡️‡️

1.πŸ–‡οΈ Kuwaka moto kifuani(Kiungulia) hasa wakati wa usiku au unapolala,hali hii hutokea pia mara baada ya kula.
2.πŸ–‡οΈ Mapigo ya moyo kwenda mbio/kushtuka kwa moyo baadhi ya nyakati.Hali hii hupelekea baadhi ya watu kuhisi wana matatizo ya moyo.
3.πŸ–‡οΈ Kuhisi k**a kichwa kimevurugika na kuhusi kuchanganyikiwa.
4.πŸ–‡οΈ Kusahau mara kwa mara hata vitu vya kawaida kabisa/Kupungua kwa kumbukumbu.
5.πŸ–‡οΈ Kujisaidia choo kigumu k**a cha mbuzi.
6.πŸ–‡οΈ Kuwa na wasiwasi na khofu kubwa na hufikia hatua hata ukipigiwa simu hasa nyakati za usiku moyo huanza kwenda mbio na kujawa na wasiwasi mkubwa.
7.πŸ–‡οΈ Kukosa usingizi ama kushtuka mara kwa mara kutoka usingizini.
8.πŸ–‡οΈ Kupumua kwa tabu baadhi ya nyakati.
9.πŸ–‡οΈ Kupata maumivu ya kichwa ya mara kwa mara kwa baadhi ya watu wenye tatizo hili.
10.πŸ–‡οΈ Kupata kikokozi kisichoisha
11.πŸ–‡οΈ Kuvimba Tonsillitis/mafidofido mara kwa mara.
12.πŸ–‡οΈ Mdomo kuwa mchachu na huwez kupelekea kutoa harufu mbaya ya kinywa.
13.πŸ–‡οΈ Kuhisi k**a kuna kitu kimekwama kooni lakin kila unavyojaribu kukitoa hakitoki
14.πŸ–‡οΈ Kupata fangasi mdomoni(mdomo huanza kutoa ute mweupe ambao una harufu mbaya).
15.πŸ–‡οΈ Huweza kupelekea ukaanza kuota ndoto za kutisha pindi ulalapo na kuhisi umerogwa.
16.πŸ–‡οΈ Kupata maumivu ya mgongo hasa sehemu ya mabega,maumivu makali kana kwamba umenyanyua vitu vizito.
17.πŸ–‡οΈ Mwili kuwa na uchovu usioisha utadhani unafanyakaz ngumu kila siku.
18.πŸ–‡οΈ Macho kupunguza uwezo wa kuona vizuri.
19.πŸ–‡οΈ Kupungua uwezo wa kufanya tendo la ndoa.
20.πŸ–‡οΈ Mwili kupata baridi na wakat mwingine kuhisi homa kabisa.
21.πŸ–‡οΈ Maumivu ya tumbo kati ya kifua na tumbo.
22.πŸ–‡οΈKichefuchefu na kutapika.

MAMBO YANAYOWEZA KUCHOCHEA TATIZO LA KUZIDI KWA ACID TUMBONI
1.πŸ–‡οΈ Uvutaji wa sigara
2.πŸ–‡οΈ Unywaji wa pombe
3.πŸ–‡οΈ Utumiaji wa vyakula au vinywaji vywenye Caffeine k**a vile Kahawa,Chocolate, Soda nk
4.πŸ–‡οΈ Kula vyakula vyenye mafuta mengi/vyakula vilivyokaangwa
5.πŸ–‡οΈ Kula chakula kingi kupita kiasi ama kula usiku sana.
6.πŸ–‡ Kutumia baadhi ya Madawa k**a vile ASPIRIN
7.πŸ–‡οΈ Ngiri ya kifua pia husababisha GERD lakin pia GERD huweza kisababisha Ngiri ya Kifua(Huatal hernia)
8.πŸ–‡οΈ Kuwa Mjamzito
9.πŸ–‡οΈ Uzito kupita kiasi (Obesity)
10.πŸ–‡οΈ Matatzo ya mmeng'enyo wa chakula au kuchewa Kujisaidia pindi uhisipo haja kubwa.

MATIBABU YA TATIZO LA KUZIDI KWA ACID TUMBONI-GERD
-Matibabu ya KUZIDI kwa Acid tumbon yamegawanyika katika aina mbili k**a ifuatavyo:‡️‡️

1️⃣ MATIBABU YA KISASA
-Matibabu haya yanahusisha utumiaji ya njia za hospital katika matibabu ikiwemo utumiaji wa PPIs(Proton pump inhibitors),Antacids,Histamine, H-2 Blockers k**a vile Cimetidine (tagament HB),famotidine (Pepcid AC),Nizatidine (Axid AR)
-esomeprazole (Nexium), lansoprazole (Prevacid), omeprazole (Prilosec), pantoprazole (Protonix), rabeprazole (Aciphex) and dexlansoprazole (Dexilant) .Magnesium nk.
Dawa hizi zimekuwa zikitumiwa sana na watu wenye changamoto za Acid nying tumboni na miongoni mwa changamoto ni kwamba dawa hizi zimekuwa zikionesha msaada mdogo sana kwa asilimia kubwa ya wagonjwa na hutoa naafuu ya muda tu.

2️⃣ MATIBABU KWA TIBA ASILI/TIBA MBADALA.
-Njia hii inahusisha matibabu kwa kutumia mimea tiba na imeonekana kuwa na ufanisi mkubwa kutokana na uwezo mkubwa wa mimea mingi katika kupambana na magonjwa mbalimbali kwasababu mimea kutibu kiini cha tatzo kwa kuzifanya kuwa mpya seli za mwili hivyo kuufanya mwili kuwa na uwezo mpya katika kufanyakazi zake.

Wasiliana nami kwa msaada zaidi wa kitaalamu katika kupambana na tatizo hili

09/08/2026

Shuhuda ya mgonjwa wa pid

08/08/2026
07/08/2026

Tuangalie afya zetu kabla ya mambo hayajawa mabaya Part 16

07/08/2026

Tuangalie afya zetu kabla ya mambo hayajawa mabaya Part 15

07/08/2026

Tuangalie afya zetu kabla ya mambo hayajawa mabaya Part 14

07/08/2026

Tuangalie afya zetu kabla ya mambo hayajawa mabaya Part 13

07/08/2026

Tuangalie afya zetu kabla ya mambo hayajawa mabaya Part 12

Want your business to be the top-listed Gym/sports Facility in Dar es Salaam?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Telephone

Address


Mlimani City
Dar Es Salaam
234