07/07/2026
AMESEMA MZEE WA YANGAππ
π£οΈ " Tunatoa siku tatu mashabiki wa Simba wakazoe kile kinyesi pale jangwani kabla wazee wa Yanga hatujakutana.
π£οΈ Wasipofanya hivyo tutakwenda kuzoa kwa mikono yetu ila kitakachowapata wote waliojisaidia pale wasilaumu".
NB: Wanasimba mmesikia..........ππ?
06/07/2026
AMESEMA AHMED ALLYππ
π£οΈ " Walipigwa chuma tatu pale Amaan Complex wakatulia tuliiii. Sisi tumewapiga kamoja tu wanatishia eti wanataka kuhama ligi". Ahmed Ally, Afisa Habari na Mawasiliano Simba SC
π£οΈ Hii ni kufuatia kitendo cha mmiliki wa Azam FC, Bakhresa kusema amechoshwa na vitendo vya waamuzi wa Tanzania kutoitendea haki timu yakeπ€
NB: Una maoni gani kwenye hili....π€π€π€π€?
05/07/2026
MAONI YA SHABIKI HUYU YAZUA MJADALA
ππ
π£οΈ " Kwenye paredi yetu ya ubingwa wa CRDB CUP tumekubaliana pale Jangwani tukae masaa matatu ila mimi nashauri tusikae tu bali tulale siku tatu". Shabiki Simba SCπ
NB: Aungwe mkono au apuuzwe....ππ?
05/07/2026
AMESEMA HERSI, RAIS WA YANGA SCππ
π£οΈ "Msimu wa 2024/2025 tulikuwa imara sana ila msimu huu 2025/2026 hatujawa vizuri sanaπ€
π£οΈ Tumeathiriwa na majeraha pamoja na baadhi ya wachezaji wapya kufeli. Licha ya changamoto hizo bado timu ilipambana kuhakikisha inatimiza malengo". Hersi Saidi, Rais wa Yanga SC.
NB: Nini maoni yako....................ππππ?
05/07/2026
AMESEMA MMILIKI WA AZAM FCππ
π£οΈ Baada ya kukamilika kwa Fainali ya CRDB CUP hapo jana, Jamal Bakhresa alihojiwa na haya ndio yalikuwa majibu yake;
π£οΈ " Tanzania tuna waamuzi wabovu sana, Afrika mashariki hakuna nchi yenye waamuzi wabovu k**a Tanzaniaππ
π£οΈ" AZAM FC Tumefanya uwekezaji mkubwa sana lakini hatutendewi haki, TFF na TPLB k**a hatutakiwi tutafute ligi nyingine ya kushiriki". Jamal Bakhresa, Mmiliki wa AZAM FC.
NB: Una maoni gani kuhusu malalamiko yake....π€π€π€π€?