Sunuka TV

Sunuka TV

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Sunuka TV, Sports, KING'AZI "B"/MSIGANI/UBUNGO, Kigoma.

Football updates| Transfer News|Match highlights| Player updates|
[ πŸ’΅Changia SUNUKA TV hapaπŸ’Ά]
πŸ‘‡πŸ‘‡
https://sarafupay.app/pay/sunuka-tv-digital-media-expansion-project

07/07/2026

AMESEMA MZEE WA YANGAπŸ‘‡πŸ‘‡
πŸ—£οΈ " Tunatoa siku tatu mashabiki wa Simba wakazoe kile kinyesi pale jangwani kabla wazee wa Yanga hatujakutana.

πŸ—£οΈ Wasipofanya hivyo tutakwenda kuzoa kwa mikono yetu ila kitakachowapata wote waliojisaidia pale wasilaumu".

NB: Wanasimba mmesikia..........πŸ˜€πŸ˜€?

06/07/2026

AMESEMA AHMED ALLYπŸ‘‡πŸ‘‡
πŸ—£οΈ " Walipigwa chuma tatu pale Amaan Complex wakatulia tuliiii. Sisi tumewapiga kamoja tu wanatishia eti wanataka kuhama ligi". Ahmed Ally, Afisa Habari na Mawasiliano Simba SC

πŸ—£οΈ Hii ni kufuatia kitendo cha mmiliki wa Azam FC, Bakhresa kusema amechoshwa na vitendo vya waamuzi wa Tanzania kutoitendea haki timu yakeπŸ€”

NB: Una maoni gani kwenye hili....πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”?

06/07/2026

MATUKIO MATANO YALIYOSHTUA NA KUSISIMUA UBINGWA NA PAREDI YA SIMBAπŸ˜‚πŸ˜Œ

05/07/2026

MAONI YA SHABIKI HUYU YAZUA MJADALA
πŸ‘‡πŸ‘‡
πŸ—£οΈ " Kwenye paredi yetu ya ubingwa wa CRDB CUP tumekubaliana pale Jangwani tukae masaa matatu ila mimi nashauri tusikae tu bali tulale siku tatu". Shabiki Simba SCπŸ˜‚

NB: Aungwe mkono au apuuzwe....πŸ˜‚πŸ˜‚?

05/07/2026

AMESEMA HERSI, RAIS WA YANGA SCπŸ‘‡πŸ‘‡
πŸ—£οΈ "Msimu wa 2024/2025 tulikuwa imara sana ila msimu huu 2025/2026 hatujawa vizuri sana🀝

πŸ—£οΈ Tumeathiriwa na majeraha pamoja na baadhi ya wachezaji wapya kufeli. Licha ya changamoto hizo bado timu ilipambana kuhakikisha inatimiza malengo". Hersi Saidi, Rais wa Yanga SC.

NB: Nini maoni yako....................πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€?

05/07/2026

AMESEMA MMILIKI WA AZAM FCπŸ‘‡πŸ‘‡
πŸ—£οΈ Baada ya kukamilika kwa Fainali ya CRDB CUP hapo jana, Jamal Bakhresa alihojiwa na haya ndio yalikuwa majibu yake;

πŸ—£οΈ " Tanzania tuna waamuzi wabovu sana, Afrika mashariki hakuna nchi yenye waamuzi wabovu k**a TanzaniaπŸ‘πŸ‘

πŸ—£οΈ" AZAM FC Tumefanya uwekezaji mkubwa sana lakini hatutendewi haki, TFF na TPLB k**a hatutakiwi tutafute ligi nyingine ya kushiriki". Jamal Bakhresa, Mmiliki wa AZAM FC.

NB: Una maoni gani kuhusu malalamiko yake....πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”?

04/07/2026

TAMBO ZA ALIKAMWE MITAA YA MSIMBAZI

04/07/2026

SAMAKI alivyompiga nyoka....πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ

04/07/2026

MAHABA ya Sokwe....πŸ‘πŸ™ŒπŸ‘πŸ™Œ

04/07/2026

TUKO mbali....πŸ™ŒπŸ”₯πŸ™ŒπŸ”₯

Want your business to be the top-listed Gym/sports Facility in Kigoma?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Category

Telephone

Address


KING'AZI "B"/MSIGANI/UBUNGO
Kigoma
55068