08/03/2025
Nukuu ya leo kutoka kwa Birthday Boy Ntulo Jb93 Ni hii ~Kuna watu baada ya KUKUTANA NAO, unatamani k**a UNGEWAFAHAMU miaka MINGI ILIYOPITA, ila Pia Kuna watu baada ya kukutana nao UNATAMANI USINGEWAHI KUKUTANA NAO KABISA kwenye maisha yako kutokana na MAUMIVU WALIYOKUACHIA.
Ndio maana ni MUHIMU sana kuendelea kumuomba MUNGU ili AKUKUTANISHE na watu SAHIHI, kwa sababu watu wanaweza aidha KUHARIBU MAISHA YAKO au KUKUSAIDIA kuwa MWANZO WA FURAHA NA MAFANIKIO YAKO AHSANTE SANA WAZAZI WANGU MPAKA HAPA NILIPO SIFA NYINGI NI ZENU PIAH BILA KUSAHAU NDUGU JAMAA NA MARAFIKI AMBAO WANANIZUNGUKA NAWASHUKURUN KWA UMOJA WENU MUNGU AWABARIKI NYOTE.+1🎂🍽️🍴🥂
20/01/2025
Vikwazo, changamoto, na maneno ya watu hayawezi kukuzuia kufikia ndoto zako.
Ni maamuzi yako na jinsi unavyochukua hatua ndivyo vitakavyoamua safari yako ya mafanikio.
Jiamini, songa mbele, na usikubali kujizuia
11/01/2025
Kila kushindwa kuna funzo kubwa, Usikubali changamoto zikatishe ndoto zako, usiogope kujaribu tena
Mafanikio yanajengwa na uvumilivu, bidii, na kuamini kwamba kila hatua, hata inayoshindwa, ni sehemu ya safari yako ya ukuaji, usikate tamaa
04/01/2025
Ukichelewa kujielewa halafu ukaja kujielewa ukubwani unakuwa na kaushamba cha kujielewa🫔
04/01/2025
.. Amini kile ambacho moyo wako unakusukuma kufanya na sio kile ambacho watu wanasema
Haujaumbwa kumfurahisha kila mtu usijitwishe mzigo usio kuhusu tatizo watu wema wanakujaga wakati ambao tumeshaacha kuwaamin watu
27/12/2024
Ngumu sana kumtunza mwanamke ambae anaamini uzuri wake utamtoa kwenye umasikini
27/12/2024
.. Usiruhusu watu wakupangie namna ya kuishi ikiwa kwenye magumu yako huwa hawakusaidi k**a unaamin unachofanya usiruhusu watu wakurudishe nyuma
Manahodha wengi chombo huenda mrama
🔑🙌
27/12/2024
FAMILIAA
.. *Kila ulipo ni mlango wa mafanikio fanya tu kazi kwa bidiii kuwa mvumilivu weka malengo jali muda halafu zingatia Sala hatujui k**a tutapata ila tuna iman na anaetoa
Mola aibariki siku yako leo iwe yenye baraka
22/11/2024
Tuishi maisha yetu kuna kesho baada ya fake ya leo.
Jikubali na kipato chako jikubali ulivyo, jiamini.
Wewe sio wao na wao sio wewe ✍️