ARSENAL
FABI Sports ANGLE
Pata Taarifa mbalimbali za Michezo
06/05/2026
Kwa heri Kocha
17/02/2026
Hii hapa ratiba ya robo fainali ya kombe la Shirikisho Afrika
➡️Al Masry SC vs CR Belouizdad
➡️Olympic Club Safi vs Wydad AC
➡️AS Otohô vs Zamalek SC
➡️AS Maniema Union vs USM Alger
Nnai Unmpa Nafasi Ya Kwenda NUSU FAINALI
FABI Sports ANGLE
16/02/2026
Kocha Miguel Gamondi amesaini mkataba wa miaka 2 kuifundisha timu ya taifa ya Tanzania [ Taifa Stars ] hii ni baada ya kukaimu nafasi hiyo kwa muda kwenye AFCON iliyopita na kuifikisha Stars hatua ya 16 bora.
Kwenye Picha : Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) Wallace Karia na Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya Tanzania Miguel Gamondi wakisaini mkataba.
FABI Sports ANGLE
17/12/2025
❤️💙🏆 Paris Saint-Germain waandika historia, waibuka mabingwa baada ya kuifunga Flamengo
Paris Saint-Germain (PSG) wameandika historia kubwa katika soka la dunia baada ya kuifunga Flamengo na kutwaa FIFA Intercontinental Cup, ushindi uliowezesha klabu hiyo kukamilisha Sextuple ya kipekee msimu huu.
🏆 Mataji yote yaliyoshindwa na PSG: 🔵 Ligue 1
⚪ Coupe de France
🔴 Trophée des Champions
🇪🇺 UEFA Champions League
🇪🇺 UEFA Super Cup
🌍 FIFA Intercontinental Cup
Ushindi huu unaifanya PSG kuingia kwenye vitabu vya historia k**a moja ya klabu chache duniani zilizowahi kushinda mataji sita makubwa ndani ya msimu mmoja, mafanikio yanayoonyesha ubora, uthabiti na nguvu ya kikosi chao katika ngazi ya ndani na kimataifa.
FABI Sports ANGLE Fabius Clavery
05/12/2025
🚨 MAKUNDI YA KOMBE LA DUNIA 2026
◉ A: Mexico, South Korea, South Africa + Winner Playoff D*
◉ B: Canada, Switzerland, Qatar + Winner Playoff A*
◉ C: Brazil, Morocco, Scotland, Haiti
◉ D: USA, Australia, Paraguay + Winner Playoff C*
◉ E: Germany, Ecuador, Ivory Coast, Curação
◉ F: Netherlands, Japan, Tunisia + Winner Playoff B*
◉ G: Belgium, Iran, Egypt, New Zealand
◉ H: Spain, Uruguay, Saudi Arabia, Cabe Verde
◉ I: France, Senegal, Norway + Winner Playoff 2
◉ J: Argentina, Austria, Algeria, Jorgan
◉ K: Portugal, Colombia, Uzbekistan + Winner Playoff 1
◉ L: England, Croatia, Panama, Ghana
20/06/2025
Matokeo ya mechi zote za jana michuano ya Kombe la Dunia ngazi ya klabu
30/04/2025
LIGI Kuu ya NBC, Ligi namba nne kwa ubora barani Afrika itarejea Mei 2 kwa mchezo kati ya Simba itakayokuwa mwenyeji wa timu ya Mashujaa kutoka mkoani Kigoma.
Mchezo huo utachezwa katika uwanja wa KMC Complex uliopo mkoani Dar es Salaam ikiwa ni mchezo wa mzunguko wa 24 uliosogezwa kutokana na timu ya Simba kuwa na ratiba ya michezo ya Kombe la Shirikisho Afrika.
Baada ya mchezo huo timu ya Simba itakuwa na kibarua kingine ugenini katika uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo, Dar watakapokutana na timu ya JKT Tanzania waliyoifunga 1-0 kwenye mchezo wa mzunguko wa kwanza kwa bao la Jean Ahoua aliefunga kwa mkwaju wa penati dakika za nyongeza.
Mei 8 itaikaribisha timu ya Pamba katika uwanja wa KMC Complex kabla ya kwenda ugenini kuvaana na timu ya KMC kwenye uwanja wa Ali Hassan Mwinyi mkoani Tabora.
Tanzania Football Federation
Click here to claim your Sponsored Listing.
Location
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
KIBETA
Bukoba