02/06/2026
Nani tukutane uwanja wa sinoni arusha kuwacheki vijana wetu fainali kuna screen kubwa limewekwa hapa bureee kabisa
Aliopo karibu na uwanja wa shule ya sinoni tujuane hapa
β½οΈ Shabani Fundi Sports
π Uchambuzi wa Mechi & Takwimu
π‘π’ Yanga Updates | Ligi Kuu TZ
π Pia: Biashara Samunge Market
π© DM kwa matangazo & ushirikiano
02/06/2026
Nani tukutane uwanja wa sinoni arusha kuwacheki vijana wetu fainali kuna screen kubwa limewekwa hapa bureee kabisa
Aliopo karibu na uwanja wa shule ya sinoni tujuane hapa
22/05/2026
Kikosi cha Singida Black Stars kinachoanza dhidi ya Yanga
18/05/2026
MAYELE ANAENDA KOMBE LA DUNIA
Hiki hapa Kikosi chΓ timu ya Taifa Dr Congo π¨π© kinachoelekea Marekani kwaajili ya kombe la Dunia
18/05/2026
π’ NATAFUTA KAZI / FURSA YA KAZI π’
Habari ndugu, jamaa na marafiki.
Mimi naitwa Shabani Halidi, mwenye elimu ya Form Four (2017) kutoka Joel Bendera Secondary School.
Kwa sasa natafuta nafasi ya kazi katika:
Kazi ya madukani
β
Mauzo ya bidhaa za jumla
β
Maduka ya vifaa vya michezo
β
Biashara na matangazo ya bidhaa online
Nipo tayari kufanya kazi kwa bidii, kujifunza zaidi na kushirikiana vizuri na timu.
π Pia naomba mtu yeyote mwenye biashara au huduma, anaweza kutumia page zangu
kunitumia matangazo yake kupitia ukurasa wangu nitamsaidia kutangaza bidhaa au huduma yake kwa watu wengi bila shida.
Huku nikiwa kazini kwake karibuni sana
π 0787 112 659
π§ [email protected]
π Arusha, Tanzania
Mwenye nafasi au taarifa yoyote naomba aniunganishe. Asanteni sana π
18/05/2026
Wadau wa michezo tuwe tunajenga hoja za kujenga na siyo za kubomoa. Maneno yetu wakati mwingine yamekuwa ya kuharibu na baadae tunawaona k**a hawawezi kazi zao.
Kwa mfano, wakati wachezaji wapya wa Yanga SC wamesajiliwa wakina Doumbia, Ecua na Musa Bala Conte, yalipigwa zogo kwamba usajili umefeli viongozi wanapaswa kuwaondoa na kuleta wengine hii imeipelekea timu kukosa balance.
Hatujaishia hapo makocha naa k**a hivyo makelele mwanzo mwisho waachwe wanafanya vibaya. Kiongozi anashimdwa ashike lipi huku Nako mashabiki hawana tulivu kila kukicha ni zogo tu. Duniani kote hakuna timu ya hivyo yaani kila kitu kikifanyika kelete matokeo hapo hapo ni uongo.
Mfano mzuri pale Simba SC, Neo Maema k**a wangewasikiliza wadau leo hii asingekuwepo Msimbazi, Innocent Luwemba, Libasse Gueye. Kwaiyo tuwe tunajaribu kuwaacha watu na taaluma zao siyo kitu ni kukosoa tu hakuna kizuri kwa viongozi.
Moja ya vitu vinaanza kufeli pale YANGA SC ni makelele ya wadau, naamini Rais wa Yanga Injinia Hersi Said hiki kitu anakiona sema tu hauwezi kusema kila kitu. Mashabiki, wanachama na wadau wote wanaungana kupiga makelele kwa kila kitu. Guys guys mpira imekuwa sehemu rahisi sana kila mmoja kutupa maneno yake, hii siyo sawa.
18/05/2026
π°...πππππ πππ leo mechi ya kukata na shoka mwananchi
β
βπ
ββ½ JKT Tanzania π Young Africans
βπ
16.05.2026, Saturday
βποΈ Major General Isamuhyo, Dar Es Salaam
βπ 18:30 EAT
β
β
β
12/05/2026
Maandalizi ya kuwakabili Dodoma Jiji yameanzaπ°πͺπ½