ZA MOTO Sports

ZA MOTO Sports

Share

JUMBA LA MICHEZO Follow page na share yetu upate taarifa za kimichezo na uchambuzi

13/06/2026

Hawana huruma hawa watu

12/06/2026

Wakorea wa 🔥🔥🔥🔥

12/06/2026

Nahodha na kipa wa timu ya taifa ya Afrika Kusini, Ronwen Williams, ameeleza masikitiko yake kufuatia kile alichokitaja kuwa ukosefu wa mshik**ano kutoka kwa baadhi ya mataifa ya Afrika wakati wa mchezo wa ufunguzi wa Kombe la Dunia 2026 dhidi ya Mexico.

Williams alisema kuwa yeye na wenzake walikuwa na matarajio makubwa ya kupata sapoti kutoka kwa Waafrika wengi k**a wawakilishi wa bara hilo katika mashindano hayo. Hata hivyo, alidai kushangazwa na hali ya baadhi ya mashabiki wa Afrika kuonekana kuiunga mkono Mexico katika mchezo huo uliomalizika kwa ushindi wa mabao 2-0 kwa upande wa Mexico.

“Tulitarajia bara letu lingesimama nasi katika nyakati k**a hizi, lakini haikuwa hivyo. Hilo lilikuwa la kusikitisha,” alisema Williams.

Kipa huyo aliongeza kuwa aliona mashabiki wengi kutoka mataifa mbalimbali ya Afrika wakiwa wamevalia jezi za Mexico wakati wa mchezo huo, jambo alilolitafsiri k**a ishara ya kuipa sapoti timu pinzani badala ya kuiunga mkono Afrika Kusini.

Kauli za Williams zimeibua mjadala miongoni mwa wadau wa soka kuhusu umuhimu wa mshik**ano wa bara la Afrika katika mashindano makubwa ya kimataifa, hususan pale timu za Afrika zinapokuwa zikiwakilisha bara hilo dhidi ya mataifa kutoka mabara mengine.

11/06/2026

Refa wa leo kagawa umeme k**a maji🤣🤣🤣

Mexico 2-0 South Africa

11/06/2026

Mashabiki zaidi ya elf 80 watashuhudia mchezo wa ufunguzi katika mashindano ya kombe la Dunia mchezo huo utapigwa baina ya wenyeji Mexico na South Africa.

Picha inaonesha timu ya South Africa walivyoingia uwanjani na sare zao kujiandaa na mchezo huo utakaofanyika majira ya saa 4:00 usiku

Leonard Gaba✍️

09/06/2026

Baada ya kufanya vizuri na kikosi cha Rc Lens Pierre Sage amemwaga wino kunako klabu ya Crystal Palace. Ikumbukwe Palace watakuwa na mashindano ya Europa league msimu ujao.

09/06/2026

🚨 FC Barcelona haina tena fedha za kukamilisha ukarabati wa uwanja wa Spotify Camp Nou 🏟️❌💰

Joan Laporta ataomba wanachama (socios) wa klabu hiyo watoe idhini ya kuongeza mkopo wa awali wa €1.4 bilioni ili kukamilisha mradi huo.

(🗞️ Marca)

09/06/2026

FIFA wamethibisha kuwa mwaamuzi kutoka Africa Omar Abdulkadir Artan hatakuwepo katika mashindano ya kombe la dunia mwaka huu yatakayoanza Alhamis ya June 11 , 2026.

Leonard gaba ✍🏾

08/06/2026

Barka Saif Mpanda amejiunga na La Masia yaani academy ya Barcelona hongera sana kwake na waliopush jambo hili.

Wasiwasi wangu ni huu Huyu dogo asije kuwa ni mali ukamkuta anacheza Spain kwanza kabla ya Tanzania.

08/06/2026

Kinda wa Simba amepokelewa kwa shangwe mazoezini.

Vipi hapo au tusitoe code🤣

Want your business to be the top-listed Gym/sports Facility in Arusha?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Category

Telephone

Address


Arusha