Ligi Kuu Tanzania

Ligi Kuu Tanzania

Share

Ukurasa Rasmi wa Habari za Michezo Ligi Kuu Tanzania Bara

03/09/2023

Ni vita kati ya simba na al ahly

Nafikili hii ndo mechi kubwa na itakayotazamwa sana na maelfu na mamia ya watu duniani kote

Nafikili hata Al AHLY hajapenda kukutana na simba, ukijaribu kufutilia katika kurasa za club ya Al AHLY comments nyingi za mashabiki wanalia sana baada ya kupangwa na simba

02/09/2023

BREAKING NEWS
Simba imepangwa kukutana na mabingwa wa Afrika, Al Ahly ya Misri katika michuano mipya ya itakayoanza mwezi Oktoba mwaka huu.

Simba itaanzia nyumbani katika mchezo rasmi wa ufunguzi, na mechi zitakuwa ni kwa mfumo wa mtoano zikianzia robo fainali.

Matokeo ya droo kwa mechi zote yako hivi:-

Simba vs Al Ahly.
TP Mazembe vs Esperance
Enyimba vs Wydad AC,
Petro Atletico vs Mamelodi Sundowns

02/09/2023

Mechi ya Kirafiki Leo asubuhi Simba Sc imecheza mchezo wa kirafiki dhidi ya Kipanga FC na kuibuka na ushindi wa magoli 3-0.
Wafungaji wa mabao ni:
>Moses Phiri
>Louis Miqquisone
>Aubin Kramo

Want your business to be the top-listed Gym/sports Facility in Ubungo?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Category

Telephone

Website

Address

Ubungo
Ubungo
11000