James Alex Sports

James Alex Sports

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from James Alex Sports, Sport & recreation, Geita, Mwanza.

[email protected]
Karibu Kwenye Ukurasa Huu
Tunatoa Taarifa Zote Zamichezo TANZANIA πŸ‡ΉπŸ‡Ώ

PIA TUPIGIEE TUKUTANGAZIE TANGAZO LAKO. 0742908427


Tucheki Whatsapp πŸ‘‡πŸ‘‡

https://chat.whatsapp.com/Crm6C2LN81b5gzcZL57KWV

MICHEZO ⚽ TANZANIA

11/07/2026

TANGAZO LA USAILI WA WACHEZAJI (U-20)

Je, una ndoto ya kucheza soka la ushindani na kujiunga na Geita Gold Football Club?

Geita Gold FC inawatangazia vijana wote wenye vipaji vya soka kushiriki katika usaili wa kutafuta wachezaji wa kikosi cha U-20.

TAREHE ZA USAILI
18 na 19 Julai

MAHALI
Uwanja wa Shule ya Msingi Waja, Geita.

Vigezo vya Kushiriki

* Awe raia wa Tanzania.
* Awe na umri usiozidi miaka 20.
* Awe na NIDA au aje na cheti halisi cha kuzaliwa kwa ajili ya uthibitisho wa umri.
* Gharama za nauli, chakula na mahitaji mengine yote ni jukumu la mshiriki mwenyewe.

MUHIMU

HAKUNA MALIPO YOYOTE KWA AJILI YA KUSHIRIKI KATIKA USAILI HUU.

Usikose nafasi ya kuonesha kipaji chako na kuanza safari ya soka la ushindani ukiwa sehemu ya Geita Gold Football Club.

GEITA GOLD FC
β€œTUNATAFUTA NYOTA WA KESHO.” 067000110πŸ“ž

. https://whatsapp.com/channel/0029Vb5KkB2KLaHr2jPM7N19

11/07/2026

Tetesi mtandaoni 🚨🚨Klabu ya Simba SC Imekamilisha Usajili wa Mshambuliaji, Victor Chukwuemeka Mbaoma raia wa Nigeria πŸ‡³πŸ‡¬πŸ‡³πŸ‡¬

Simba Imepindua Meza kwa Tusker FC ya Kenya ambayo ilikuwa tayari wamemalizana na Mshambuliaji Huyo

Hatunaga Mchele wa kukaanga πŸ“’https://whatsapp.com/channel/0029Vb5KkB2KLaHr2jPM7N19

09/07/2026

🚨 RUSHINE DE ROCK

"Msimu unapofikia mwisho, ninajivunia sana kuiongoza timu hii k**a nahodha. Kutwaa mataji mawili ni mafanikio ambayo tutayaenzi na ni matokeo ya kazi kubwa, kujitolea na imani tuliyoonyesha msimu mzima.

Asanteni sana mashabiki wetu kwa sapoti yenu isiyoyumba. Mlikuwa nasi katika kila wakati, mzuri na mgumu, na mmetupa nguvu ya kupambana hadi mwisho.

Zaidi ya yote, tunamshukuru Mungu kwa neema zake zilizotuwezesha kuvuka kila changamoto na kumaliza msimu kwa mafanikio.

Sasa ni wakati wa kupumzika, kuwa na familia zetu na kujiandaa kwa msimu ujao. Tutarudi tukiwa na nguvu zaidi, njaa ya ushindi na tayari kupambana tena.

Asanteni kwa kuwa sehemu ya safari hii. πŸ†πŸ†

NGUVU MOJA 🦁'

Maneno kutoka ndani kabisa ya moyo wa Nahodha msaidizi wa Simba.

https://whatsapp.com/channel/0029Vb5KkB2KLaHr2jPM7N19

07/07/2026

*πŸ”΄βšͺ HUDUMA YA MATANGAZO πŸ”΄βšͺ MEDIA*

*BIASHARA NI MATANGAZO!*

Karibu *utangaziwe tangazo lako lolote*
Mtanzania, Mdau, Mwana Michezo wote mnakaribishwa

*TUNATANGAZA:*
Biashara, Matukio, Vyakula, Mavazi, Huduma, Uchaguzi, Mikutano na mengineyo

BEI: MAELEWANO βœ…
HUDUMA: HARAKA NA KITAALAMU βœ…

TUFUATE WHATSAPP: 0742 908 427
Karibu na uHUSDUMIWEπŸ‘Š

06/07/2026

mwendeleze huu upendo na kwawachezaji wengine wanapo umiaa

05/07/2026

DAR ES SALAAM: Paredi la Simba SC limefika Karume na sasa mwelekeo ni Kigogo hadi Jangwani.
-
Maelfu ya watu wamejitokeza kushuhudia paredi hilo kuanzia uwanja wa ndege hadi sasa Karume.

Photos from James Alex Sports's post 05/07/2026

Semaji ni mmoja tu nchi hii πŸ€— ivi walisemaje kuhusu semaji πŸ˜„πŸ€£

Want your business to be the top-listed Gym/sports Facility in Mwanza?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Telephone

Website

Address

Geita
Mwanza
[email protected]