11/07/2026
TANGAZO LA USAILI WA WACHEZAJI (U-20)
Je, una ndoto ya kucheza soka la ushindani na kujiunga na Geita Gold Football Club?
Geita Gold FC inawatangazia vijana wote wenye vipaji vya soka kushiriki katika usaili wa kutafuta wachezaji wa kikosi cha U-20.
TAREHE ZA USAILI
18 na 19 Julai
MAHALI
Uwanja wa Shule ya Msingi Waja, Geita.
Vigezo vya Kushiriki
* Awe raia wa Tanzania.
* Awe na umri usiozidi miaka 20.
* Awe na NIDA au aje na cheti halisi cha kuzaliwa kwa ajili ya uthibitisho wa umri.
* Gharama za nauli, chakula na mahitaji mengine yote ni jukumu la mshiriki mwenyewe.
MUHIMU
HAKUNA MALIPO YOYOTE KWA AJILI YA KUSHIRIKI KATIKA USAILI HUU.
Usikose nafasi ya kuonesha kipaji chako na kuanza safari ya soka la ushindani ukiwa sehemu ya Geita Gold Football Club.
GEITA GOLD FC
βTUNATAFUTA NYOTA WA KESHO.β 067000110π
. https://whatsapp.com/channel/0029Vb5KkB2KLaHr2jPM7N19
11/07/2026
Tetesi mtandaoni π¨π¨Klabu ya Simba SC Imekamilisha Usajili wa Mshambuliaji, Victor Chukwuemeka Mbaoma raia wa Nigeria π³π¬π³π¬
Simba Imepindua Meza kwa Tusker FC ya Kenya ambayo ilikuwa tayari wamemalizana na Mshambuliaji Huyo
Hatunaga Mchele wa kukaanga π’https://whatsapp.com/channel/0029Vb5KkB2KLaHr2jPM7N19
10/07/2026
Utaratibu wa kupokea pre order za jezi mpya za msimu wa 2026/27 umeanza rasmi. . https://whatsapp.com/channel/0029Vb5KkB2KLaHr2jPM7N19
09/07/2026
π¨ RUSHINE DE ROCK
"Msimu unapofikia mwisho, ninajivunia sana kuiongoza timu hii k**a nahodha. Kutwaa mataji mawili ni mafanikio ambayo tutayaenzi na ni matokeo ya kazi kubwa, kujitolea na imani tuliyoonyesha msimu mzima.
Asanteni sana mashabiki wetu kwa sapoti yenu isiyoyumba. Mlikuwa nasi katika kila wakati, mzuri na mgumu, na mmetupa nguvu ya kupambana hadi mwisho.
Zaidi ya yote, tunamshukuru Mungu kwa neema zake zilizotuwezesha kuvuka kila changamoto na kumaliza msimu kwa mafanikio.
Sasa ni wakati wa kupumzika, kuwa na familia zetu na kujiandaa kwa msimu ujao. Tutarudi tukiwa na nguvu zaidi, njaa ya ushindi na tayari kupambana tena.
Asanteni kwa kuwa sehemu ya safari hii. ππ
NGUVU MOJA π¦'
Maneno kutoka ndani kabisa ya moyo wa Nahodha msaidizi wa Simba.
https://whatsapp.com/channel/0029Vb5KkB2KLaHr2jPM7N19
07/07/2026
*π΄βͺ HUDUMA YA MATANGAZO π΄βͺ MEDIA*
*BIASHARA NI MATANGAZO!*
Karibu *utangaziwe tangazo lako lolote*
Mtanzania, Mdau, Mwana Michezo wote mnakaribishwa
*TUNATANGAZA:*
Biashara, Matukio, Vyakula, Mavazi, Huduma, Uchaguzi, Mikutano na mengineyo
BEI: MAELEWANO β
HUDUMA: HARAKA NA KITAALAMU β
TUFUATE WHATSAPP: 0742 908 427
Karibu na uHUSDUMIWEπ
07/07/2026
Heri ya Siku ya SabaSaba kwa Wanasimba wote share post hii na usisahau comment yako . https://whatsapp.com/channel/0029Vb5KkB2KLaHr2jPM7N19
06/07/2026
mwendeleze huu upendo na kwawachezaji wengine wanapo umiaa
05/07/2026
Kombe moja tuliwafumua nyie.
Kombe moja tumewafumua mashoga zenu.
Picha ya mwisho watoto wenu wamekuja kuwaliwaza.
Tunatamba popote na hamna cha kutufanya GONGOWAZI. . https://whatsapp.com/channel/0029Vb5KkB2KLaHr2jPM7N19
05/07/2026
DAR ES SALAAM: Paredi la Simba SC limefika Karume na sasa mwelekeo ni Kigogo hadi Jangwani.
-
Maelfu ya watu wamejitokeza kushuhudia paredi hilo kuanzia uwanja wa ndege hadi sasa Karume.
05/07/2026
Semaji ni mmoja tu nchi hii π€ ivi walisemaje kuhusu semaji ππ€£