04/03/2026
Mzee wangu baba yangu wendo binadam pekee ulokuwaa ukinipa furaha duniani na kiburi umeondokaa kimy kimy paspo hata kuongea neno mzee wangu basi bwana mwenyezi mungu akufanyiee wepesi kaburin kwako baba Ila umeondokaa
Wakati ambao atukutarajia mzee wetu hatuna budi kukubli Ila najua mungu umeruhusu kwakuwa unajua nayaweza hayaa maana huwezi ukanipa jarbu kubwa hivi k**a siliwezi
01/03/2026
Maboresho ya ratiba NBC LEAGUE
01/03/2026
RATIBA LEO IPO HIV (01/03/26)
๐น๐ฟ TANZANIA
20:30 Yanga SC ๐ Simba SC
๐ช๐ธ SPANISH LALIGA
16:00 Elche ๐ Espanyol
18:15 Valencia ๐ Osasuna
20:30 Betis ๐ Sevilla
23:00 Girona ๐ Celta Vigo
๐ด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ ENGLAND PREMIER LEAGUE
17:00 Brighton ๐ Nottingham
17:00 Fulham ๐ Tottenham
17:00 Manchester Utd ๐ Crystal Palace
19:30 Arsenal ๐ Chelsea
๐ซ๐ท FRENCH LIGUE 1
16:00 Paris FC ๐ Nice
18:15 Lille ๐ Nantes
18:15 Lorient ๐ Auxerre
18:15 Metz ๐ Brest
21:45 Marseille ๐ Lyon
๐ฉ๐ช GERMAN BUNDESLIGA
17:30 Stuttgart ๐ Wolfsburg
19:30 Eintracht Frankfurt ๐ Freiburg
21:30 Hamburger SV ๐ RB Leipzig
๐ฎ๐น ITALIAN SERIE A
14:30 Cremonese ๐ AC Milan
16:00 Sassuolo ๐ Atalanta
20:00 Torino ๐ Lazio
22:45 AS Roma ๐ Juventus
๐ณ๐ฑ DUTCH EREDIVISIE
13:15 Zwolle ๐ Ajax
15:30 FC Volendam ๐ Groningen
15:30 Twente ๐ Feyenoord
17:45 Utrecht ๐ AZ Alkmaar
21:00 Excelsior ๐ G.A. Eagles
๐ฆ๐น AUSTRIAN BUNDESLIGA
17:00 Altach ๐ SK Rapid
17:00 Austria Vienna ๐ LASK
17:00 BW Linz ๐ Tirol
17:00 Grazer AK ๐ Ried
17:00 Salzburg ๐ Hartberg
17:00 Wolfsberger AC ๐ Sturm Graz
๐ง๐ช BELGIAN PRO LEAGUE
14:30 Genk ๐ Gent
17:00 Westerlo ๐ Royale Union SG
19:30 Charleroi ๐ Club Brugge KV
20:15 Cercle Brugge KSV ๐ Dender
๐ฆ๐ฟ AZERBAIJAN PREMIER LEAGUE
14:30 Turan Tovuz ๐ Imisli FK
17:00 Qarabag ๐ Sabah Baku
๐จ๐พ CYPRUS LEAGUE
16:00 Chloraka ๐ Krasava
17:00 AEK Larnaca ๐ Ol. Nicosia
19:00 Aris ๐ Pafos
๐ง๐ฌ BULGARIAN EFBET LEAGUE
17:15 Levski Sofia ๐ Lok. Sofia
๐ฉ๐ฐ DENMARK SUPERLIGAEN
18:00 FC Copenhagen ๐ Randers FC
18:00 Fredericia ๐ Silkeborg
18:00 Midtjylland ๐ Brondby
18:00 Sonderjyske ๐ Odense
18:00 Vejle ๐ Aarhus
18:00 Viborg ๐ Nordsjaelland
๐ญ๐ท CROATIAN HNL
16:00 Rijeka ๐ Lok. Zagreb
18:15 Din. Zagreb ๐ Gorica
๐ฉ๐ช 2. BUNDESLIGA
13:30 Braunschweig ๐ Preussen Munster
13:30 Hertha Berlin ๐ Nurnberg
13:30 Magdeburg ๐ Karlsruher SC
๐ต๐น LIGA PORTUGAL
17:30 Tondela ๐ Santa Clara
20:00 Casa Pia ๐ Moreirense
22:30 Rio Ave ๐ Famalicao
๐จ๐ฟ CZECH REP CHANCE LIGA
14:00 Karvina ๐ Slovacko
16:30 Zlin ๐ Plzen
19:30 Sigma Olomouc ๐ Bohemians
23/02/2026
MSIMAMO: Mtibwa Sugar bado wako โtop 5โ
23/02/2026
WAPIGA FILIMBI MSHAWAJUA?
Maneno ya Kocha Mkuu wa Namungo, Juma Mgunda akizungumza baada ya kipigo cha bao 1-0 kutoka kwa Yanga.
Mgunda amemtaja Abdallah Mwinyimkuu k**a ndiye mchezaji bora wa mchezo kwakuwa yeye ndiye aliyeamua matokeo yawe vile kwa kuwanyima penati ya kweli na kuwapa penati ya uongo Yanga.
Unakubaliana kwa asilimia ngapi na Kocha Juma Mgunda?
weak
23/02/2026
KALAMU YA LEO ๐ | TZ Prisons Vs Simba SC
3 POINTS โ
! Clean Sheet ๐ฅ! 22 Points on Table โ
! Mnyamaa anashinda mechi zake
TZ Prisons kwenye 4-4-2 / 5-4-1 mpango wao wa kuzuia ndio umewamaliza mbele ya Simba SC leo, walichagua kuzuia zaidi ila bado walipopata mpira hawakujua ni maeneo gani uende na wafanya nini! Hapa ndipo mpinzani wao alianzia kuwamaliza kwa sababu ya runners wengi alionao mstari wa juu
4-2-3-1 ya Simba build-up yao ilikuwa sahihi yenye muendelezo wenye mpangilio kupitia 2-3-4-1 yaani Kibabage & Kapombe wanapishana mstari wa pili au tatu then Chama, Loemba na Kagoma wanapita kati yao! Prisons hapa ndipo tatizo lilipoanzia kwao, Why?
1- Oura + Mwalimu + Gueye ile combination play yao ilivuruga sana back-line ya mpinzani wao na kuongeza hatari kwa M***a Mbisa! Muda mwingi Prisons wakawa hawakai kwenye shape yao sababu ya runners wengi wa Simba
2- Numerical Advantage: Simba hapa hata bila mpira walikuwa na wachezaji wengi kwenye nusu ya mpinzani wao(Kibabage + Kapombe waliongezeka karibu na 18 ya mpinzani wao, Prison ikakosa uhuru hata kwenye build-up)
2ND HALF! TZ Prisons ndio k**a walikuja kucheza na kupishana zaidi kisha Simba SC ikaamua kutulia na kuchagua nyakati ambazo zitafanya kuendelea kuushika mchezo hadi mwisho wa Dakika 90.
THIRD EYE. ๐
โช๏ธ Prinsons kipindi cha pili wamezuia vizuri sana โ
โช๏ธ Kagoma ๐! Oura + Gueye + Doto ๐ฅ! Sabyanka + Kimenya + Toure ๐ช
โช๏ธ Loemba that composure โ
! Chama that simplicity ๐ง ! Kapombe, great game today ๐ฅ
โช๏ธ Kibabage โ
kaamua kila siku kucheza mechi yake upande wake ๐ฅ
โช๏ธ RUSHINE DE REUCK, Top Top Game ๐! POTM no doubt ๐ฅ
NB:Machi 1 wanauliza mbona hafiki๐
FT:TZ PRISONS 0-2 SIMBA SC.
Letโs Goo!!.
23/02/2026
"Namungo walinyimwa penal=ti ya halali kabisa, penati ambayo ilionekana moja kwa moja kwamba hii ni penati, mchezaji wa Namunhgo alishikwa na wachezaji wa Yanga, akabanwa kuingia kwenye kumi na nane, akashindwa kupata nafasi ya kufunga bao, kwa maana alinyimwa nafasi ya kufunga bao na walinzi wa Yanga."
Follow weak
23/02/2026
Kiungo raia wa Senegal Mamadou Lamine Camara Mwenye Umri wa Miaka (23) rasmi jana ameanza safari mpya ya soka baada ya kusaini Mkataba wa miaka miwili na nusu na klabu ya nchini Libya Al Ahli Tripoli, ambao utamuweka klabuni hapo hadi Agosti 21, 2028.
Camara atalipwa mshahara wa dola milioni 1.2 kwa mwaka, sawa na zaidi ya (Shilingi Bilioni 3.08 za Kitanzania), kiwango kinachomfanya kuwa mchezaji wa pili anayelipwa fedha nyingi zaidi barani Afrika katika ligi za ndani.
Al Ahli Tripoli walilazimika kulipa dola milioni 2.8 (takribani Bilioni 7.18 Tsh) kuvunja kipengele cha mkataba wake kutoka klabu ya nchini Morocco RS Berkane.
Katika orodha ya wachezaji wanaolipwa fedha nyingi zaidi barani Afrika ndani ya ligi za nyumbani, Camara anashika nafasi ya pili nyuma ya nyota wa Misri Ramadan Sobhi, anayelipwa dola milioni 2.4 kwa mwaka sawa na Bilioni 6.16 za Kitanzania.
Klabu ya Al Ahli Tripoli ambao sasa wanaongeza nguvu katikati ya uwanja kwa kumpata kiungo mwenye uwezo mkubwa wa kukaba, kusambaza mipira na kuongoza mashambulizi.
weak
23/02/2026
Augustine Okejepha "Don Ok" kiungo wa zamani Simba SC amesaini miezi 6 klabu ya Welayta Dicha ya nchini Ethiopia.
Nyota huyo kabla ya kutua Ethiopia ametokea Iraq ambapo alikuwa anacheza Ligi kuu nchini humo.
Okejepha amesema atacheza kwa muda mfupi ili dirisha kubwa apate ofa nzuri zaidi.
Sports weak
23/02/2026
Ushindi wa jana haukuwa tu pointi tatu za kawaida ulikuwa ni ujumbe mzito kwa wapinzani wao Arsenal. Manchester City wameonyesha kwa mara nyingine kuwa wao ni timu inayojua kushinda katika nyakati muhimu zaidi za msimu.
Katika hatua hii ya ligi, kila mechi ni k**a fainali. Lakini tofauti kati ya mabingwa na washindani ni uwezo wa kubeba presha, kuamua mechi kwa utulivu, na kutumia makosa madogo ya wapinzani. Hilo ndilo City wamefanya jana wakionyesha uzoefu, nidhamu ya hali ya juu na falsafa ya ushindi iliyojengwa kwa miaka chini ya mwalimu wao.
Ushindi huu umeongeza imani ndani ya kikosi, umeongeza presha kwa wapinzani wao Arsenal, na umeimarisha nafasi yao juu ya msimamo. Hii si bahati ni matokeo ya mipango, kikosi kipana chenye ubora, na wachezaji wanaojua thamani ya kila dakika uwanjani.
City wana kitu kimoja kinachowatofautisha: mentaliti ya mabingwa. Wakiwa kwenye mbio za ubingwa, mara nyingi hawaangalii kelele za nje wanaangalia kazi yao tu. Wana kasi, wana uimara wa safu ya ulinzi, wana ubunifu katikati, na wana makali mbele ya lango. Huu ni mchanganyiko unaowapa nafasi kubwa ya kunyanyua kombe msimu huu.
K**a wataendelea na mwendo huu, wakidumisha nidhamu na njaa ya ushindi, basi njia yao kuelekea ubingwa inazidi kuwa wazi kwao. Ushindi wa jana unaweza kuwa turning point ya msimu ushindi unaoweza kukumbukwa k**a hatua muhimu kuelekea taji jingine.
# weak
23/02/2026
Nyota wa Tanzania Charles Mโmombwa na timu yake ya Floriana FC wamepata ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya Hibernians kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya Malta
mmombwa10