Emanuel John

Emanuel John

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Emanuel John, Sports, Mikocheni, Mpanda.

Follow us kwa taaarifa mpya za michezo na burudani🔥

Follow us for the latest sports and entertainment news🔥

JOURNALIST & CONTENT CREATOR
#Emanueljohn
#Emanuel_john_sports
#mpirawaafrica
#koshineog

19/08/2026

Mwaga moto mwingi sana k**a dragon 🐉 kwake libasse GUEYE Ex factor 🥷 🦁🦁🦁🦁💪🏿💪🏿💪🏿💪🏿

19/08/2026

Kikosi cha simba sc Leo dhidi ya pamba jiji patachimbika Ccm kirumba

Leo doumbia ameanzia mbao ndefuu amenyoosha fitoo 🥷

16/08/2026
13/08/2026

🚨AZAM FC WAPO SERIOUS KWENYE USAJILI KWELIKWELI 🔥😂

Hiyo ni beki ya Mpira aisee.

Msimu uliopita kacheza CHIPPA UTD na AL AHLY ya Libya 🇱🇾.

Pote alikuwa anazima.

OYA IBENGE FANYA KWELI MWAKA HUU.

11/08/2026

🚨Kwenye hili nimeanza kuwaelewa viongozi wa simba sc.

Hata mimi ningekuwa Kiongozi,Nisingetoa hiyo Fedha kwa Mchezaji wa Mkopo.

Kwa sababu washambuliaji wazawa ambao hawatofautiani level na ubora na Mwalimu wapo kwa Million 150 na unammiliki wewe.

Photos from Emanuel John's post 11/08/2026
04/08/2026

MEMORIES WHAT A GOOAL TRIPLE C

02/08/2026

Victor osimen x iblahim doumbia

01/08/2026

Hii jezi ya Simba sc msimu huu hata ukiomba mkopo wa milioni 10 bila NIDA unapewa mkopo halaka sana.

Mwaga moto mwingi sana kwa mzamini wa jezi zetu
Mwaga moto kwa mo dewji.

25/07/2026

🚨Hivi mna uhakika Cooper amekuja kuisaidia Simba kwenye Ligi kuu Tanzania bara

Ball ipo mguuni au ndio Ile ya siku zote tia maji tia maji?

Haya hapo chini maneno ya mdau DM ⬇️⬇️

Duuu!! Hapa Simba ndo wanapo feli Kila ikifiki kipindi Cha usajiri dirisha kubwa wanaleta mchezaji kwa majaribio ili iweje , mbona dirisha dogo wanasajiri wachezaji hawapiti kwenye majaribio na wanaingia kwenye kikosi Moja kwa Moja ,, Simba timu kubwa inataka ifanye makosa k**a ya usajiri wa mwaka jana wa kina Nabi Camara wanaketwa kwenye majaribio badae wanapewa mikataba halafu mashindano yakianza wanafeli Moja kwa Moja , Sasa Simba kwani haielewi Nini maana ya dirisha kubwa la usajiri , na kuwaletwna Fans wao wachezaji wa majaribio Halaf et wanahitaji makombe duuu hatar sana huu uongozi ni pasua kichwaa.

Want your business to be the top-listed Gym/sports Facility in Mpanda?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Category

Telephone

Address

Mikocheni
Mpanda