11/07/2026
π¨π¨ TAARIFA ππ½
Mathew Tegisi (21) na Singida Black Stars DEAL LIMEKAMIKA
Pamba Jiji wameamuwa kumuuza mshambuliaji wao, Mathew Tegisi (21) kwenda Singida.
Tayari Tegisi amekubaliana kila kitu na Singida, kilichobaki ni Singida kulipa ada ya uhamisho ili dili likamilike.
Msimu ujao safu ya ushambuliaji ya Singida itaongozwa na Mathew Tegisi na Kitambala Bola ππ½βοΈ
DEAL DONE β
ππ½
11/07/2026
Hebu ngoja tuweke rekodi zake sawa maana wachambuzi wanaikwepa
Msimu uliopita kocha mpya wa nyuma mwiko akiwa na golden arrows ya africa kusini kwenye michezo 30 ya ligi alifanikiwa kushinda michezo 11 akapata sare michezo 08 na akafungwa michezo 11 na timu yake ilifunga magoli 34 na ikaruhusu goli 33
Ni ngumu sana kumshauri mtu anaekaribia kutapeliwa
03/07/2026
π¨ ππππ ππ ππ : Simba Sports Club imefikia makubaliano ya kumsajili Kiungo Ibraheem Jabaar mwenye miaka 23 k**a mchezaji huru baada ya kumaliza mkataba na Stellenbosch..
03/07/2026
Mpaka sasa timu hatari kwenye Kombe la Dunia ni Ufaransaβ
Mpaka sasa timu inayocheza KIBINGWA kwenye Kombe la Dunia ni UHISPANIA. β
Mpaka sasa timu inayocheza ZERO PRESSURE ni Argentina β
Mpaka sasa timu yenye 100% PRESSURE ni Ureno β
Mpaka sasa timu yenye mpira usioeleweka eleweka ni Englandβ
Timu yenye mpira mkubwa bila kupigiwa kelele ni Morocco β
Mpaka sasa timu underrated ni Mexico na USAβ
Mpaka sasa timu yenye mipango yake isiyojali ya watu ni MISRIβ
Bingwa!? UHISPANIA nampa nafasi kubwa zaidi
03/07/2026
DEAL β
Klabu ya Singida Black Stars inathibitisha kufikia makubaliano ya kumuuza mshambuliaji wetu, Mossi Nduwumwe, kwenda klabu ya Yanga kwa ada ya uhamisho wa Dola za Kimarekani 250,000 ($250,000).
BALAA JIPYA JANGWANI ππ
03/07/2026
TAARIFA KUTOKA CRDB Bank Plc
..
Breaking News π’ Habari zilizotufikia hivi punde ni kwamba mwali wetu π hayupo π₯Ί eneo husika analotakiwa kuwepo. Mwali huyo mwenye urefu wa mita kadhaa kwenda hewani ana shape ya pembe za ndovu na Mlima Kilimanjaro akiwa amezungukwa na dhahabu. Mamlaka husika zinaendelea na zoezi la msako na yeyote atakayefanikiwa kumuona kuna zawadi nono kwa ajili yake.
03/07/2026
Akiwa stellenbosch aliweka rekodi mbili za kipekee sana ,
Ya kwanza msimu wa 2021-2022 na msimu wa 2024-2025 hii misimu yote miwili alishinda tuzo ya mchezaji bora kijana na ya pili kwenye kikosi cha stellenbosch ameacha rekodi ya kipekee kuwa mchezaji wa kwanza wa kigeni kucheza mechi nyingi zaidi (mechi 140)
Kwa sasa umri wake ni miaka 23 tu ni raia wa nigeria π³π¬ na anamudu kucheza k**a kiungo mchezesha (CM)na kiungo mshambuliaji (AM)
Bad news ni kwamba kuna mchezaji atamvulia jezi na good news ni kwamba Msimu ujao huyu mwamba atavaa jezi ya Simba sports club
Anaitwa ibraheem jabaar π¦π³π¬
03/07/2026
πͺπΈ Pau Cubarsiβs career stats:
β½οΈ 2 goals
π― 8 assists
π 2x La Liga
π Copa del Rey
π 2x Supercopa
π₯ Olympic Gold Medal
π Pau Cubarsi π Austria:
π‘οΈ 8 defensive contributions
π 92% pass accuracy
π³ 2 chances created
π¬ 2 tackles
π§Ή 5 clearances
π 2 recoveries
πͺ 6 duels won
βοΈ 8.0 match rating
He has yet to concede a goal at the 2026 FIFA World Cup! π³
03/07/2026
π¨ Reports from Mexico claim some journalists are planning to leak the England national teamβs hotel location ahead of their Round of 16 clash at the 2026 World Cup.
The alleged aim is to allow fans to gather and disrupt the teamβs preparations before the match.