18/07/2026
💣〽️‼️
Vigezo vitakavyotumika kuchagua mfungaji bora (Golden Boot) wa kombe la Dunia endapo wachezaji watamaliza mashindano wakiwa na idadi sawa ya mabao:
➡️Mchezaji mwenye assist nyingi zaidi ndiye atakayeshinda.
➡️Ikiwa idadi ya assist pia itakuwa sawa, mchezaji mwenye dakika chache zaidi alizocheza katika mashindano yote ndiye atakayekuwa na nafasi ya juu zaidi kutwaa kiatu cha dhahabu 🏆⚽
👉Kwa mtazamo wake ni mchezaji atachukua kiatu cha dhahabu?
18/07/2026