02/09/2026
๐ถ๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐ ๐๐๐๐ ๐๐๐ ๐๐๐ ๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐
๐นTumewasili katika Uwanja wa Ndege wa OR Tambo Johannesburg, Afrika Kusini,Kikosi kitapumzika hapa kwa muda kabla ya kuendelea na safari kuelekea Gaborone, Botswana๐ง๐ผ
01/09/2026
๐ถ๐๐๐ ๐๐๐๐๐ ๐๐๐ ๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐
๐นSeptember. Mwezi uliobeba safari yetu ya LIGI YA MABINGWA AFRIKA .. Mashindano ambayo ni Ndoto ya kila shabiki wa YANGA kuona Tukifanya Makubwa huko,Huu Msimu Uongozi umetupa Timu imara sana. Timu iliyosheheni Quality ya Wachezaji Bora katika kila eneo. Kilichobaki ni sisi WANANCHI Kunuia kwa sauti moja.. HUU NI MSIMU WA KUITIKISA AFRIKA
๐นYeeees.. Uzoefu Tushaupata wa kutosha. Timu Tunalo bora kweli kweli. Unyonge wa nini?? Hatuna Unyonge mwaka huu๐๐ผ Kuanzia sasa Kwenye Matawi yote ya YANGA Duniani Kote kuanza maandalizi ya CAF,Tuisapoti Timu yetu kwa Jasho letu Lote msimu huu. Hakuna cha kutuzuia Wanangu๐๐ผ
๐๐;Tunaanzia Ugenini In Shaa Allah na Uongozi unaangalia Utaratibu mzuri wa kuangalia Hii Game eneo moja kwa WANAYANGA watakaobaki Tanzania
โ๏ธ๐จ๐ณ๐ณ๐ ๐ฒ๐จ๐ด๐พ๐ฌ
01/09/2026
๐ถ๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐ ๐๐๐๐
๐นLigi ina misimu miwili haijawahi kutoa Tuzo za wachezaji mwisho mwa msimu halafu wanatupostia Ili iweje sasa,Wachezaji saivi wanacheza kwa ajili ya kukuza Profile zao lakini siyo kwa ajili ya Tuzo,Moja ya ligi inayoongozwa kiboya ni Tanzania,Ligi ya kenya wana Tuzo za msimu sisi hatuna halafu tunajiita tuna ligi bora wakati ni Bora ligi
๐๐;Itafikia kipindi hata bingwa wa ligi atakuwa hakabidhiwi kombe lake,baada ya ligi kuisha mnasubiria miezi kwa ajili ya ligi ya msimu mwingine
โ๏ธ๐บ๐จ๐ด ๐๐จ๐ต๐ฎ๐จ
01/09/2026
๐ถ๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐
๐นShakulile baada ya kupewa Assist ya viwango ambayo toka aanze kucheza mpira hajawahi kupewa na mchezaji wowote ikabidi amuulize tu wewe kiumbe ulikuwa wapi siku zote maana huenda angekuwa na magoli hata 7 kwenye mechi hizi zote lakini ndo kwanza ana goli 3
๐๐;Ni ndogo ya kila Msambuliaji kucheza mbele ya Aziz Ki maana kufunga ni muda wowote tu unaweza pewa pass ambayo hata kuiyona hujawahi
โ๏ธ๐บ๐จ๐ด ๐๐จ๐ต๐ฎ๐จ
31/08/2026
๐ถ๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐ ๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐ ๐๐๐ ๐๐๐๐
๐นKatika siku Chuga amekuwa na Mechi mbovu basi ni leo toka nimeanza kumjua na kumfatiria basi leo kacheza mechi mbovu sana tena dhidi ya timu aliyotoka sijajua nikukamia kwa sababu ndo alipotoka au ndo presha baada ya kusema hadharani maana leo kila anachofanya basi kinakuwa kibaya tu
๐นBinafsi me naamini huyu dogo bado ni mdogo anahitaji muda wa kutosha kuweza kufanya kile ambacho watu wengi wanakitarajia lakini kuanza kumsema saizi ni kumtia presha tu,Dogo anaingia timu ishapata matokeo lazima acheze kuonesha kile alicho nacho
๐๐;Apewe muda na nafasi ndo atajengeka lakini siyo kuanza kumsema mbona leo Sure boy alikuwa na Game mbovu na hamsemi
โ๏ธ๐บ๐จ๐ด ๐๐จ๐ต๐ฎ๐จ
31/08/2026
๐ถ๐
๐๐
๐ ๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐,๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐
๐นLion Messi amestaafu kucheza Timu ya Taifa ya Argentina,hii ameamua kutokana na maamuzi yake mwenyewe ikichangiwa na umri.mkubwa aliyo nawo lakini pia na mafanikio aliyowapa Argentina ikiwemo na makombe mengine
๐๐;Ni muda wa wachezaji wengine kujaribu kuleta mafanikio kwenye taifa kubwa k**a Argentina,Atakaye vaa jezi namba 10 kwa.Argentina ana kazi
โ๏ธ๐บ๐จ๐ด ๐๐จ๐ต๐ฎ๐จ
31/08/2026
Chuma ya kwanza kwa Yanga na si mwingine ni Sha sha man
31/08/2026
๐ถ๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐ ๐๐๐๐ ๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐
๐นJuzi baada ya kocha wa Young Africans Sports Club kusema Aziz Ki bado hajakaa kwenye mfumo kwa sababu amekosa Pree-season hivyo anaweza kukosa mechi zaidi ya mbili zijazo mimi nikaja nikapinga kwa kuwaambia kuwa ni ngumu mchezaji k**a Aziz Ki kukaa nje zaidi kisa tu hana Pree Season wengine mkatukana mkasema mimi siyo kocha kiko wapi
๐นKwenye mchezo wa leo Aziz Ki kaanza moja kwa moja siyo kwamba Kakaa benchi kaanza kwenye kikosi cha kwanza k**a nilivyosema,Kuna wacheza ubora wao hata achelewe vipi akija mechi moja mbili anacheza kwa sababu wachezaji wakubwa nje ya mfumo wa Kocha anaweza kukupa kitu kizuri kwa uwezo wake tu
๐นNikawatolea mfano kwa Shalulile kuwa hakuwa na Pree season lakini pia nikawaambia hadi nje uko wakina Rodri wote hawo kina Diamande pale Madrid leo mmeamini sasa kuwa mpira naujua na ndo maana nakuwa na jeuri ya kusema
โ๏ธ๐บ๐จ๐ด ๐๐จ๐ต๐ฎ๐จ