Kilimo Bora Chenye Tija

Kilimo Bora Chenye Tija

Share

Hii page ni kwaajili ya Kujifunza kuhusu Kilimo Bora Cha mazao yote
Kupata mafunzo na darasa kuhusu mazao mbalimbaali ya bustani.

0744795652 | 0652330841

07/07/2026

Karibuni sana kwa mahitaji ya Miche ya nyanya iliyotunzwa vizuri kitaalamu kwaajili ya Kilimo Bora Chenye Tija
Tunapatikana Moshi Kilimanjaro na mikoani tunaagiza kwa uaminifu mkubwa sana kwa njia ya bus 🚌
Simu ziite
πŸ“ž 0744795652
πŸ“ž 0652330841

07/07/2026

Karibuni sana kwa mahitaji ya Miche ya kitunguu
Tunapatikana Moshi Kilimanjaro na mikoani tunaagiza kwa uaminifu mkubwa sana kwa njia ya bus 🚌
Simu ziite
πŸ“ž 0652330841
πŸ“ž 0744795652

30/06/2026

Karibu sana kwa mahitaji ya Mbolea ya maji ya Super Gro kwa bei ya kizalendo bei ya Dukani bila udalali Lita 5 utailipia 150,000/= nauli ni juu yangu mpaka mkoani kwako njoo inbox tufanye biashara au nichek Whatsapp number 0744795652 nitakupa na ushauri wa kitaalamu kuhusu kilimo Bure kabisa...
Tunapatikana Moshi Kilimanjaro na mikoani tunaagiza kwa uaminifu mkubwa sana kwa njia ya bus 🚌
Simu ziite πŸ‘‡β¬‡οΈ
0744795652 | 0652330841

Photos from Kilimo Bora Chenye Tija's post 25/06/2026

Karibuni kwa mahitaji ya mbegu za Tikiti maji
Mbegu zenye ubora wa Hali ya juu sana
Sukari F1 na Jubilee F1
Tunapatikana Moshi Kilimanjaro na mikoani tunaagiza kwa uaminifu mkubwa sana kwa njia ya bus 🚌
πŸ“ž 0744795652 & 0652330841

23/06/2026

Mbegu za tikiti za Sukari F1 ni mbegu Bora sana kwa kilimo Chenye Tija..
1. Inazalisha tikiti kubwa na lenye mvuto
2. Lina rangi nyekundu iliyokolea na Lina utamu sana ukiwa unakula
3. Linahimili maeneo yote ukanda wa juu na WA chini.
4. Ina kipato kikubwa sana zaidi ya tani 14 kwa Ekari Moja

Karibu sana kwa mahitaji ya mbegu hii nzuri sana ya tikiti... Tunapatikana Moshi Kilimanjaro na mikoani tunaagiza kwa uaminifu mkubwa sana kwa njia ya bus 🚌
πŸ“ž 0744795652 & 0652330841

22/06/2026

Mbegu za kitunguu za Red Bombay kutoka Kibo Seeds πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯
Karibuni sana kwa mahitaji ya mbegu hii Bora sana...
Mbegu za kitunguu za Red Bombay kutoka Kibo seeds tunauza 120,000/= kwa 1Kg na Ekari 1 unatakiwa kuwa na 3Kg
Tupo Moshi Kilimanjaro na mikoani tunaagiza kwa uaminifu mkubwa sana kwa njia ya bus 🚌
0744795652 | 0652330841
Usisahau kufollow account yetu kwaajili ya kuendelea kupata updates mbalimbali kuhusu kilimo

20/06/2026

Karibuni sana kwa mahitaji ya Miche ya kitunguu...
Miche tunauza kwa kitalu, kwa bei nzuri sana na tunakuuzia Miche yenye ubora sana ambayo imehudumiwa vizuri sana..

Tunapatikana Moshi Kilimanjaro na mikoani tunaagiza kwa uaminifu mkubwa sana kwa njia ya bus 🚌
Simu ziite
πŸ“ž 0652330841 & 0744795652

20/06/2026

🌱 BIGROCK F1 – Nyanya Inayostawi Kwenye Hali Mbalimbali za Hewa! 🌱

Je, unatafuta mbegu ya nyanya inayoweza kufanya vizuri hata kwenye maeneo yenye joto kali?

βœ… BigRock F1 imeendelea kuonyesha matokeo bora katika maeneo mbalimbali nchini, ikiwemo Dodoma, eneo linalojulikana kwa hali ya hewa ya joto. Wakulima wamefurahia:

πŸ… Mavuno mengi na yenye ubora wa juu
πŸ… Matunda makubwa, magumu na yanayovumilia usafirishaji
πŸ… Ustahimilivu mzuri katika mazingira tofauti ya uzalishaji
πŸ… Uwezo wa kufanya vizuri hata kwenye maeneo yenye joto kali

BigRock F1 – Chaguo sahihi kwa mkulima anayelenga mavuno yenye faida!

Kwa mahitaji ya mbegu Bora za nyanya za Big Rock F1
Tunapatikana Moshi Kilimanjaro & Arusha na mikoani tunaagiza kwa uaminifu mkubwa sana kwa njia ya bus 🚌
πŸ“ž
0744795652 & 0652330841

Want your business to be the top-listed Gym/sports Facility in Kilimanjaro?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Address

Kilimanjaro