07/07/2026
Kilichowakuta Senegal ndicho kilichowakuta Misiri baada ya kuwa mbele kwa mgoli mawili mbele ya Argentina na Kuruhusu kile kilichotokea kwa senegal kitokee Dk Za Jion Inaganyika Comeback ya Nguvu na Kuwa 3-2 Na kuifanya Misiri Kuagaa Michuano ya kombe la Dunia Kwa Mwaka 2026.
07/07/2026
Dk za nyongeza Hali Mbaya Misiri 3 - 2.
07/07/2026
Azizi Ki Kwenye Ubora Wake Licha Ya Timu yake Katika Mchezo wa Hisani Kufungwa Bao 5 - 3 Mwamba Ameonyesha Perfomance Ya Hali Ya Juu Kwa Kufunga Bao 2 na Kutoa Assit 1 Kwa Maana Hito amehusika Kwenye Magoli yote Kwa Namna Moja Ama Nyingine.
07/07/2026
Inapoelekea Messi Atamfuata CR 7 na Kumuacha Misiri Kwenda hatua Inayofuata.
07/07/2026
Ngoma ngumu Penati ya Mesi Yachomolewa na mlinda Lango wa Misiti OUFA SHOIBEIR
07/07/2026
Dk Ya 15 Misri Anatangulia Kwa Bao Moja Mbele ya Argentina Ya Lionel Messi, Hii Ni Mapema Kusema Kuwa Misiri Taendelea Na Hatua Inayofuata Kutokana Na Kile Kilichotokea Kwa Congo na Senegal.
Goli la Kichwa la Mchazaji wa Misiri Ibrahimu Linawaweka Mbele Misiri Dhisi ya Argentina.
Je Lionel Messi atamfuata Cristiano Ronaldo ?