VAR ya mtaani Tz

VAR ya mtaani Tz

Share

Habari zote za soka Tanzania|Bongo Ligi,Taifa stars, kombe la FA
Matokeo|Ratiba|Analysis|kusujuu
πŸ“© DM kwa matangazo

21/07/2026

🚨 CONFIRMED:Abdulnasir Muhamed rasmi ajiunga na kikosi cha young africans.
Binafsi naona ni mchezaji mzuri,na anaweza kufanya vizuri katika klabu iyoβš½βœ…
Je wewe una uzungumziaje usajili huu walio ufanya young Africans comment apo πŸ‘‡πŸ‘‡

07/07/2026

πŸ”₯πŸ”₯Dakika za jiooooon Egypt wameshindwa kushikilia bomba kabisa 😁😁
Ft Argentina 3 πŸ†š 2 Egypt

06/07/2026

MAMA AMETEMBELEA πŸ‘
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan
Amemtembelea Pacome kumpa pole na moyo.

Uongozi ni Kujali. Uongozi ni Kuwapo. πŸ‡ΉπŸ‡Ώ

Tuseme Asante MAMA πŸ™
sc Mtaani

30/06/2026

πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯Yanga bingwa πŸ†πŸ†πŸ† 25/36

29/06/2026

Ligi inafungwa kesho! ⚽ Ni timu gani inakupa presha?

27/06/2026

πŸ”₯πŸ”₯Mambo ni mukidi mukide,hat-trick ya kibabe kwa Allan okello.
premier league

17/06/2026

πŸ”₯Dakika 45 zimekamilika,Singida Black Stars wakiwa mbele kwa bao 3 ⚽⚽⚽ dhidi ya Dodoma jijiπŸ˜₯πŸ˜₯
Je Dodoma jiji anaweza kufanya come back kipindi cha pili toa maoni yako mwana mtaa??

Want your business to be the top-listed Gym/sports Facility in Kibaha?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Category

Address

Po Box 28001
Kibaha