15/08/2026
SHUKRAN KWA WANA MANA2KALI WOTE🟢⚪️⚫️
Asanteni sana WACHEZAJI wote wa Mana2kali pamoja na COACH kwa kujitowa kuipambania timu kuanza mwanzo wa ligi ya UpewaCup mpaka safari yetu ilipoishia kwenye hatua ya 16 bora, pia niwapongeze MASHABIKI wote wa Mana2kali kuwa pamoja na timu, kuwapa wachezaji hamasa na kusimama nasi katk kila hali. Pia pongezi ziende kwa VIONGOZI wote pamoja na SPONSORS wa Mana2kali kwakujitowa kwa hali na mali iili kufanyikisha timu yetu kuendelea kuwa imara.
Tumebaki kwenye hatua ya 16 bora ila tutaendelea kuchenga timu imara na yenye ushindani, Tunajipanga na ligi ijayo💪
Mana2kali Vurba