Spoti Swahili

Spoti Swahili

Share

Local and International Sports News

21/07/2026

๐Ÿšจ๐—•๐—ฅ๐—˜๐—”๐—ž๐—œ๐—ก๐—š: FIFA imethibitisha haitatoa adhabu yoyote kwa Kiungo wa Argentina Leandro Parades baada ya kumshambulia kiungo wa Spain Gavi baada ya Fainali ya kombe la Dunia.โŒ๏ธ๐Ÿ†

FIFA Inasema ni jambo la Kawaida kwa mchezaji mara anapo kuwa kapoteza mchezo huwa k**a Mbogo ila hakuna Hatua zozote za Kinidhamu dhidi yake na Kadi nyekundu ambayo Mwamuzi Slavko Vincic alimuonyesha Parades FIFA imefutwa.

19/07/2026

๐Ÿšจ๐Ÿ† | USIKU Wa Leo Ni Wa Historia!

Dakika 90 zinaweza kubadili historia ya soka duniani!

Lionel Messi anawania kuhitimisha safari yake ya Kombe la Dunia kwa ubingwa mwingine wa kihistoria, huku Lamine Yamal akisaka kuandika ukurasa mpya kwa kuiongoza Uhispania kutwaa taji la dunia.

โšฝ๐Ÿ† Argentina ๐Ÿ‡ฆ๐Ÿ‡ท ๐Ÿ†š Uhispania ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ

Ni nani atainua Kombe la Dunia usiku wa leo? ๐Ÿ‡ฆ๐Ÿ‡ท au ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ

> Check comment

18/07/2026

๐Ÿ† | England ๐Ÿ‡ฌ๐Ÿ‡ง vs France ๐Ÿ‡ซ๐Ÿ‡ท | Vita ya Nafasi ya Tatu!

Kombe la Dunia linaelekea ukingoni, lakini bado kuna pambano kubwa la kuwania nafasi ya tatu.

England na Ufaransa zinakutana kwenye mechi inayotarajiwa kuwa na kasi, ushindani mkubwa na mbinu za hali ya juu.

Je, nani ataibuka na ushindi leo?

๐Ÿ’ฌ Check Kwenye Comment Kuna Mchongo.!

15/07/2026

๐Ÿšจ | RATIBA YA LEO: Nusu Fainali ya Kombe la Dunia 2026 ๐Ÿ†โšฝ

๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ England ๐Ÿ†š ๐Ÿ‡ฆ๐Ÿ‡ท Argentina
๐Ÿ•™ Saa 4:00 Usiku (22:00 EAT)

Mshindi wa mechi hii atatinga fainali kupambana na Hispania.

Ni nani unaamini ataibuka na ushindi? ๐Ÿ‘€๐Ÿ”ฅ
> Kisha chungulia kwenye comment

14/07/2026

๐Ÿ”ฅ Leo ni Mbappรฉ vs Yamal... El Clรกsico ya kimataifa!

๐Ÿ‡ซ๐Ÿ‡ท Ufaransa ๐Ÿ†š Hispania ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ
๐Ÿ•“ Saa 4:00 usiku | Nusu Fainali ya Kwanza โ€“ Kombe la Dunia 2026

Hispania imeiondoa Ufaransa kwenye mashindano makubwa mara mbili mfululizo, EURO 2024 (2-1) na UEFA Nations League 2025 (5-4). Je, leo Mbappรฉ na wenzake watalipa kisasi, au Yamal ataiongoza Hispania tena?

Unampa nani nafasi ya kutinga fainali? - Tukutane kwenye comment kuna mchongo nimeweka
๐Ÿ‘‡๐Ÿ”ฅ

10/07/2026

๐Ÿšฉ ๐…๐”๐‹๐‹ ๐“๐ˆ๐Œ๐„ : World Cup Quarter Final

FRANCE ๐Ÿ‡ซ๐Ÿ‡ท 2๏ธโƒฃโž–๏ธ0๏ธโƒฃ MOROCCO ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฆ
โŽ๏ธ 28" Mbappe (p)
โšฝ๏ธ 60" Mbappe
โšฝ๏ธ 66" Dembele

> Yapi maoni yako juu ya matokeo haya?

09/07/2026

โšฝ๐Ÿ† KITENDAWILI Cha Ufaransa๐Ÿ‡ซ๐Ÿ‡ท Au Morocco๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฆ Wa Kukitegua Kuna Jambo lake Kwenye Comment!

> Ni nchi mbili zenye ufanano katika historia na wengi wakitajwa k**a watu wa Afrika.

> Je, Nani unampa Ushindi? - Tukutane Comment ya Kwanza.!

06/07/2026

๐Ÿ†โšฝ Leo Kombe la Dunia ni Hispania dhidi ya Ureno.

Hii ni hatua ya 16 Bora. Kule ni Ronaldo huku Lamine...!

Hapo utampa nani? - Check Mchongo kwenye comment.!

03/07/2026

๐Ÿšจ | MECHI YA KIBABE.!!! Nafasi nzuri ya dau la kibabe! ๐Ÿ’ฐ

๐Ÿ‡ฆ๐Ÿ‡ท Argentina - ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ป Cabo Verde
Odds: W1 โ€” 1.14 | X โ€” 9.00 | W2 โ€” 23.00

Utabiri: Argentina wanaingia kwenye mechi hii wakiwa ndio wanaopewa nafasi kubwa ya kushinda kutokana na kikosi chao kilichojaa mastaa. Cabo Verde kuna uwezekano mkubwa wakajihami nyuma kabisa na kutafuta mashambulizi ya kushtukiza, lakini Albiceleste wanatarajiwa kutawala mchezo na kutengeneza nafasi nyingi za mabao. Utakuwa mchezo wa kujiamini kutoka kwa Argentina, lakini huenda wasifunge mabao mengi dhidi ya mpinzani mwenye nidhamu.

Mkeka: Total Under 3.5 au Argentina Kushinda na Total Under 4.5
Angalia Commented ya Kwanza
๐Ÿ‘‡

02/07/2026

๐Ÿšฉ | MECHI Kali Leo

๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธUhispania - ๐Ÿ‡ฆ๐Ÿ‡นAustria
Odds: W1 โ€” 1.65 | X โ€” 3.85 | W2 โ€” 5.40

Je Unajua?: Wahispania kwa kawaida watatawala umiliki wa mpira, lakini Waaustria chini ya Ralf Rangnick wanajulikana kwa pressing yao kubwa.

Utakuwa mchezo mgumu na wa kukaza, kwa hivyo usitarajie idadi kubwa ya mabao

Check Kwenye Comment - Kisha Weka: Total Under 2.5 au Uhispania Kufuzu au mnasemaje?
๐Ÿ‘‡

Want your business to be the top-listed Gym/sports Facility in Dodoma?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Website

Address

Dodoma
41000