17/03/2026
๐ฅ Wakiwa nyuma kwa 3-0, lakini Man City wanarudi Etihad kwa Comeback Kubwa! โก๏ธ๐ฅ
Kinachowekwa rehani:
โก City: Lazima wafunge magoli 3+ ili wabaki kwenye mashindano
โช Real Madrid: Kulinda uongozi wa magoli 3
Je, Pep ataweza kufanya muujiza, au Madrid watatawala tena? ๐๐ฅ Weka utabiri wako hapa chini! ๐
17/03/2026
Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Wallace Karia, akizungumza katika kikao cha maandalizi ya Ligi ya Muungano inayotarajia kuanza Aprili 21 hadi 27, 2026 katika Uwanja wa Amaan Zanzibar
27/02/2026
Mkurugenzi wa makampuni ya Jayrut, Joel Wegasira, ameibua gumzo kubwa mitandaoni baada ya kupost picha akiwa sambamba na basi jipya aina ya Irizar, huku akionesha hati ya kusafirisha gari hiyo kwa njia ya meli kuja Bandari ya Dar es Salaam. ๐ข๐ฅ
Kupitia ukurasa wake, Joel aliandika kwa kujiamini:
โLas acciones hablan mรกs que las palabras ๐โ
yaani, โMatendo yanaongea zaidi ya maneno ๐โ
Kisha akaongeza ujumbe mzito:
โCanโt wait to deliver the Best to My Best Team โ โค๏ธ๐ฆ
Kauli hiyo imechochea shauku kubwa kwa mashabiki wa Simba Sports Club, maarufu k**a Mnyama. Wengi wanaamini hili ndilo basi jipya la kisasa litakaloibeba timu yao kwenye safari za mashindano ya ndani na kimataifa.
Mitandao ya kijamii imefurika pongezi na maswali โ je, hili ndilo basi kali kuliko yote kuwahi kumilikiwa na klabu hapa nchini? Je, litawasili lini rasmi Dar es Salaam?
Kilicho wazi ni kwamba presha imepanda, na mashabiki wa Simba wanasubiri kwa hamu kuona โmzigoโ huo ukitia nanga bandarini.
Wangapi wana hamu ya kuliona basi jipya la Mnyama? ๐ฆ๐ฅ
Follow mpira wetu
27/02/2026
๐จKAMATI YA MASAA 72 Itakapoketi Kumsimamisha SELEMAN MWALIMU Isisahau Kuipa Simba Point 3
Imeripotiwa "โก๏ธKANUNI Ya 17:32 Inasema timu inaruhusiwa Kubadilisha wachezaji Watano tu (5) Katika awamu zisizozidi tatu (3) Kwenye Mchezo mmoja..โ๏ธ
SUBS: DODOMA JIJI
46โ OUT - Augustino Nsata
IN - Anderson Solomon
73โ OUT - Khleffine Hamdoun
IN - Daud Rashid
83โ OUT - Faraji Kayanda
IN - Elias Maguli
92โ OUT - Salmin Hoza
IN - Dickson Mhilu
97โ OUT - William Edgar
IN - Wazir Junior
ADHABU
1. Timu itakayobadilisha wachezaji zaidi ya watano (5) itapoteza Mchezo na Kutozwa Faini
2. Timu itakayobadilii wachezaji wasiozidi watano (5) ila Kinyune na utaratibu wa awamu tatu (3) uliowekwa itatozwa Faini โ
3. Mabadiliko Wakati wa Mapunziko hayatahesabika K**a awamu
Note; Hii Mechi ilikuwa na Mambo Mengi sana ya Kidhalimu Unajiuliza Kulikuwa na Waamuzi /Wasimamizi wa Mchezo Kweli?"
Follow page yetu kupata habar zaid.
27/02/2026
Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara imetangaza rasmi waamuzi watakaosimamia dabi ya kusisimua kati ya Young Africans na Simba SC, inayotarajiwa kupigwa Machi 1, 2026. Mchezo huo utakaofanyika katika Uwanja wa Amaan Complex, Zanzibar kuanzia saa 2:15 usiku, unatajwa kuwa na umuhimu wa kipekee katika mbio za ubingwa wa NBC Premier League msimu huu.
โOrodha kamili ya waamuzi walioteuliwa ni:
โMwamuzi wa Kati: Nassoro Mwinchui (Tanga)
โMwamuzi Msaidizi 1: Kassim Mpanga (Dar es Salaam)
โMwamuzi Msaidizi 2: Hamdani Said (Mtwara)
โMwamuzi wa Akiba: Ramadhan Kayoko (Dar es Salaam)
โMtathmini wa Waamuzi: Israel Mjuni (Dar es Salaam)
โDabi hii inakuja wakati Simba SC wakiwa na presha ya kupata ushindi wa lazima ili kupunguza pengo la alama 5 dhidi ya Yanga SC. K**a alivyowahi kunukuliwa Meneja wa Habari wa Simba, Ahmed Ally, dabi ndio michezo inayotoa burudani halisi, hivyo macho ya mashabiki wote yatakuwa kwa waamuzi hawa kuhakikisha soka la haki na ufundi linatawala uwanjani.
21/02/2026
๐๐: ๐ ๐๐ ๐๐๐ฅ๐๐ฑ๐ฒ ๐-๐ ๐ ๐๐๐ฆ๐๐ฅ๐จ๐๐ข ๐๐ฎ๐ง๐๐จ๐ฐ๐ง๐ฌ
โฝ๏ธ Sphamandla Ngwenya 19'
โฝ๏ธ Junior Zindoga 32' (P)