07/08/2026
Pyramid wanaendelea kujifua kuelekea Msimu ujao. Wanataka kurejesha utawala wao kwenye Kombe la Afrika
Ikumbukwe kua wamepangwa kuanza dhidi ya Gor Mahia ya Kenya π°πͺ
Ukurasa Maalumu kwa habari za Michezo na kwa zaidi Simba. Whatsapp 0625302091
07/08/2026
Pyramid wanaendelea kujifua kuelekea Msimu ujao. Wanataka kurejesha utawala wao kwenye Kombe la Afrika
Ikumbukwe kua wamepangwa kuanza dhidi ya Gor Mahia ya Kenya π°πͺ
07/08/2026
π¨π CECAFA KAGAME CUP | PLAY-OFF YA NAFASI YA 3
πΈπ© Al Hilal π Jamus SC πΈπΈ
π
Leo, Agosti 7
β° Saa 10:00 Jioni πΉπΏ
ποΈ Amahoro Stadium, Kigali π·πΌ
Mchezo huu utaamua timu itakayomaliza nafasi ya tatu kwenye CECAFA Kagame Cup 2026. Mshindi ataondoka na zawadi ya US$10,000.
07/08/2026
Wanetu Gongowazi wamepuyanga, wamebuni mapaziaπππΈ
Fundi π₯
Fundi Jabaar π₯π₯π₯
07/08/2026
Neo Gift Maema amerejea π₯π¦
Ni Simba day 2026 mambo yameivaaπ₯π¦
07/08/2026
π¨BARCELONA YAMWINDIA RODRI! πͺπΈπ΅π΄
Barcelona imewasilisha ofa ya β¬55 milioni (takribani TSh bilioni 168) kwa Manchester City kwa ajili ya kumsajili Rodri.
π° β¬45M β TSh bilioni 137.5 ikiwa ni malipo ya uhakika
π° β¬10M β TSh bilioni 30.6 katika bonasi
Manchester City kwa sasa inataka β¬65M, sawa na takribani TSh bilioni 199.
π Mazungumzo yanaendelea, huku Barcelona ikiwa na matumaini ya kukamilisha dili hilo kwa chini ya β¬60M.
PremierLeague
07/08/2026
π¨ MAREFA WETU HAWAAMINIKI.
Kati ya marefa wanne ambao watachezesha Final ya CECAFA leo, hakuna refa kutoka Tanzania hata mmoja
Kenya π°πͺ imetoa mwamuzi, UgandaπΊπ¬ imetoa Mwamuzi ila Tanzania hawajatoa mwamuzi
Ishara mbaya sana hii kuonyesha ligi yetu haina marefa bora ikiwa nchi k**a k**a Djibouti ambao soka lao lipo chini ila wametoa mwamuzi kuna ni i tena hapo!
Tujitafajari...
07/08/2026
π¨ SIMBA VS YANGA..
Mwamuzi bora Afrika Omar Abdulkadir Artan yupo Rwanda π·πΌ leo, akichezesha mechi ya Final kati ya Gor Mahia dhidi ya Rayon Sport
Ingependeza sana k**a TFF wakifanya mazungumzo na Omar, apite Tanzania kuchezesha Derby ya Ngao ya jamii pale Zanzibar
Derby inapendeza pale ikiwa haina Makando kado na marefa k**a hawa ndio wanaotakiwa. TFF fanyeni jambo refa wa FIFA huyu.